Mheshimiwa David Kafulila Ni kichwa kwelikweli,ni kiongozi na Nusu,ni akili kubwa na mfano wa kuigwa kwa watu wengi kwa moyo wake wa uzalendo na uchapa kazi wake. Ni kiongozi mbunifu na mwenye moyo wa kujituma na kujitolea. Mungu ambariki sana Mheshimiwa Kafulila.