BabaJonii
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 282
- 145
sii useme tuu kuwa jamaa anataka kuisasambua papuchi yako wakati alikubali kusubiri
Amsubiri kwani anakwenda nae wap?
sii useme tuu kuwa jamaa anataka kuisasambua papuchi yako wakati alikubali kusubiri
katoto ka watu
washakavuruga hakiyanani lol!!
Sio kwamba kameingia, bali kamo ndani ya hiki kisiwa cha malavidavi, hakaelewi elewi, kanaona kama kako kanaelea hewani, na hakajui katatua lini ardhini.tena uskute ndo kanaingia kwenye ulimwengu wa maloveee! Lol
sijakuelewa.!mbona unaandika kama unakimbimbizwa?
hahahahahah. Pengine huyo aliemuahidi mambo yameharibika si unajua mishemishe mjini zikigonga mwamba tena. Sasa yeye anakua bado yupo kwenye ile ahadi maskini ya Mungu hajui mambo yanaweza kubadilika wakati wowote. Hii shida wanapochukua hivi vitoto jamani
katoto ka watu
washakavuruga hakiyanani lol!!
shida yako ni nini hutaki kujulikana kama wewe mvulana au msichana!!nina swali kama unamvulana au msichana wako na kuwekeana makubaliano ya kitu fulani na hatimaye huyo mpenzi kuja kukugeuka je ni kweli huyo mvulana au msichana anakupenda?
sanaa! Hasa wakishapata wanachotaka!
Una maanisha washakitawanya au
hahahahahah. Pengine huyo aliemuahidi mambo yameharibika si unajua mishemishe mjini zikigonga mwamba tena. Sasa yeye anakua bado yupo kwenye ile ahadi maskini ya Mungu hajui mambo yanaweza kubadilika wakati wowote. Hii shida wanapochukua hivi vitoto jamani
My daughter, how old are you?
Mh! just use Swahili if the foreign language is trouble to you.So i ask if your a boy