My daughter, how old are you?nina swali kama unamvulana au msichana wako na kuwekeana makubaliano ya kitu fulani na hatimaye huyo mpenzi kuja kukugeuka je ni kweli huyo mvulana au msichana anakupenda?
nina swali kama unamvulana au msichana wako na kuwekeana makubaliano ya kitu fulani na hatimaye huyo mpenzi kuja kukugeuka je ni kweli huyo mvulana au msichana anakupenda?
katoto ka watu
washakavuruga hakiyanani lol!!
katoto ka watu
washakavuruga hakiyanani lol!!
tena uskute ndo kanaingia kwenye ulimwengu wa maloveee! Lol
wanaume wabaya jamani!!
Dont trust anyone out of your family, because the only person who having a real love is your parent.
Siku hizi huko milembe naona wagonjwa mnaruhusiwa sasa kutumia cm au laptop!