Wakuu kwa miezi kadhaa kama minne hivi ninekuwa na tatizo la kuota mapunye sehemu za tumboni, mguuni, mikononi n.k
Mapunye haya yanawasha sana na ukijikuna yanatoa kama unga unga hivi. Nimeenda hospital kama Kairuki, Ilala afya centre daktari anaangalia anakupatia tube.
Hizo tube nimetumia miezi hiyo lakini sijapata nafuu na sasa tatizo linaendelea.
Naomba ushauri wenu wakuu
Mapunye haya yanawasha sana na ukijikuna yanatoa kama unga unga hivi. Nimeenda hospital kama Kairuki, Ilala afya centre daktari anaangalia anakupatia tube.
Hizo tube nimetumia miezi hiyo lakini sijapata nafuu na sasa tatizo linaendelea.
Naomba ushauri wenu wakuu