Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,546
Sio siri kwa Mungu mbali.
Imenishangaza sana kuona hata viongozi wa dini,ambao tunawategemea sana katika kutuongoza katika maisha yetu ya kiroho kuwa vipofu kiasi hiki.
Hivi ni kweli hawaoni kuwa hii rasimu wanayoipigia kura ya ndiyo ina mapungufu mengi kiasi hiki?hivi hawaoni kwamba wanakubali matatizo kwa ajili ya watanzania milioni 45?
Hivi wamesahau kuwa wanapaswa wa act haki bin haki?
Hivi hawaoni kwamba wanapaswa kukemea mambo yote yalikiuka maadili?
Hivi ni njaa au kupenda pesa?
Ni kweli wana haki ya kuchagua wanachokipenda lakini katika swala hili la katiba ambapo wanafanya maamuzi ya watu zaidi ya mil 45 wanapaswa kuwa na msimamo ili haki na kile kilicho sahihi kifuatwe?
kweli hii ni duniani,made in tanzania
Imenishangaza sana kuona hata viongozi wa dini,ambao tunawategemea sana katika kutuongoza katika maisha yetu ya kiroho kuwa vipofu kiasi hiki.
Hivi ni kweli hawaoni kuwa hii rasimu wanayoipigia kura ya ndiyo ina mapungufu mengi kiasi hiki?hivi hawaoni kwamba wanakubali matatizo kwa ajili ya watanzania milioni 45?
Hivi wamesahau kuwa wanapaswa wa act haki bin haki?
Hivi hawaoni kwamba wanapaswa kukemea mambo yote yalikiuka maadili?
Hivi ni njaa au kupenda pesa?
Ni kweli wana haki ya kuchagua wanachokipenda lakini katika swala hili la katiba ambapo wanafanya maamuzi ya watu zaidi ya mil 45 wanapaswa kuwa na msimamo ili haki na kile kilicho sahihi kifuatwe?
kweli hii ni duniani,made in tanzania