Laiser Tom
Member
- Jan 12, 2014
- 36
- 20
Nimeshuhudia majuzi nikisafiri kutoka Moro kwenda Arusha ambapo katika Bus la abiria 60 palikuwa na mjadala mkali sana na wachangiaji wakiongea kwa hisia kali.
Kati ya abiria takriban 25 waliokuwa wakichangia/kujadiliana ni watu wawili tu walioonyesha kuipenda CCM. Waliobaki walikuwa wankiponda chama chetu vibaya sana. Nilijaribu kufurukuta kwa kueleza mazuri ya CCM lakini nilizomewa hadi nikajinyamazia.
Najiuliza ni nini CCM imewakosea Watanzania hata kuchukiwa ghafla hivi?! Inafikia hatua mtu unaona aibu kujitambulishia CCM. Kijana mmoja (abiria) alisema mtu akimfananishia CCM atamshitaki kwa kosa la kumkashifu (yaani akimhusisha na CCM).
Wanachama wenzangu nasi tuamke tukitee chama chetu.
Kati ya abiria takriban 25 waliokuwa wakichangia/kujadiliana ni watu wawili tu walioonyesha kuipenda CCM. Waliobaki walikuwa wankiponda chama chetu vibaya sana. Nilijaribu kufurukuta kwa kueleza mazuri ya CCM lakini nilizomewa hadi nikajinyamazia.
Najiuliza ni nini CCM imewakosea Watanzania hata kuchukiwa ghafla hivi?! Inafikia hatua mtu unaona aibu kujitambulishia CCM. Kijana mmoja (abiria) alisema mtu akimfananishia CCM atamshitaki kwa kosa la kumkashifu (yaani akimhusisha na CCM).
Wanachama wenzangu nasi tuamke tukitee chama chetu.