Leo jioni mida ya saa 12 wakati wana CDM wakiwa Ngomeni kwao Elephant Logde wakiusubiri Msafara wa Mgombea ubunge wao toka Maji ya Chai, Alipita Binti mmoja akiwa amejifunga Scurf ya CCM na kuelekea Elephant Logde bila uoga wowote kwani hapo Palikuwa na wakereketwa wa CDM tu.
Kilichotokea hapo huyo Bint alivuliwa hiyo scurf yake na kuulizwa anataka nini, akajibu anataka kukaa hapo Elephant Bar, Scurf yake ilichukuliwa na kuchomwa moto na huyo Bint kuombwa aondoke kwani atawasababishia wamfanyie ukatili. Huwezi amini huyo Bint aligoma kuondoka, Vijana hao waligundua kuwa katumwa kuja kuchukoza wamtandike then iwe kesi Polisi na stori kwenye Kampeni kesho, aliachwa na alipoona hakuna mtu mwenye time nae akaamua kuondoka Mwenyewe.
Nawasihi CCM acheni kuwatumawatu kuchokoza wana CDM kwani mtasababisha vurugu zisizo na msingi...
Nawasilisha...
Kilichotokea hapo huyo Bint alivuliwa hiyo scurf yake na kuulizwa anataka nini, akajibu anataka kukaa hapo Elephant Bar, Scurf yake ilichukuliwa na kuchomwa moto na huyo Bint kuombwa aondoke kwani atawasababishia wamfanyie ukatili. Huwezi amini huyo Bint aligoma kuondoka, Vijana hao waligundua kuwa katumwa kuja kuchukoza wamtandike then iwe kesi Polisi na stori kwenye Kampeni kesho, aliachwa na alipoona hakuna mtu mwenye time nae akaamua kuondoka Mwenyewe.
Nawasihi CCM acheni kuwatumawatu kuchokoza wana CDM kwani mtasababisha vurugu zisizo na msingi...
Nawasilisha...