Neema William
Senior Member
- Jan 3, 2012
- 171
- 76
ccmwanajidanganya , labda kwa kuiba kura kwa sera zile ambazo hazitekelezeki , sijuiii labda itokee miujiza, ama waibe kura kama kawaida yao
Mama P,hebu tulia kidogo muda huu na jiandae kutoa chakula cha usiku kwa shemeji.Hii ajira ya Nape itasababisha usitoe ushirikiano vema halafu utaachika bure mdogo wangu.Au nawe uko single kama yule kiongozi wetu wa muhimili wa pili *********?katika mambo ya njama huyo binti anaweza kutengenezwa na chadema kwa ajili ya kukoleza au kuongeza chumvi kwamba CCM ni chama cha wakorofi
Mbona tayari alishafanyiwa vurugu?Kuvuliwa scarf yake c tayari shambulio hilo,tena la aibu ukizingatia ni mwanamke
kwel waache ujinga magamba yanawasha
kwel waache ujinga magamba yanawasha
Leo jioni Mada ya saa 12 wakati wana CDM wakiwa Ngomeni kwao Elephant Logde wakiusubiri Msafara wa Mgombea ubunge wao toka Maji ya Chai,Alipita Binti mmoja akiwa amejifunga Scuf ya CCM na kuelekea Elephant Logde bila uoga wowote kwani hapo Palikuwa na wakereketwa wa CDM tu,kilichotokea hapo huyo Bint alivuliwa hiyo scuf yake na kuulizwa anataka nini,akajibu anataka kukaa hapo Elephant Bar,Scuf yake ilichukuliwa na kuchomwa moto na huyo Bint kuombwa aondoke kwani atawasababishia wamfanyie ukatili,huwezi amini huyo Bint aligoma kuondoka,Vijana hao waligungua kuwa katumwa kuja kuchukoza wamtandike then iwe kesi Polisi na stori kwenye Kampeni kesho,aliachwa na alipoona hakuna mtu mwenye time nae akaamua kuondoka Mwenyewe.
Nawasihi CCM acheni kuwatumawatu kuchokoza wana CDM kwani mtasababisha vurugu zisizo na msingi...
Nawasilisha...
katika mambo ya njama huyo binti anaweza kutengenezwa na chadema kwa ajili ya kukoleza au kuongeza chumvi kwamba CCM ni chama cha wakorofi
Mbona tayari alishafanyiwa vurugu?Kuvuliwa scarf yake c tayari shambulio hilo,tena la aibu ukizingatia ni mwanamke
Leo jioni Mada ya saa 12 wakati wana CDM wakiwa Ngomeni kwao Elephant Logde wakiusubiri Msafara wa Mgombea ubunge wao toka Maji ya Chai,Alipita Binti mmoja akiwa amejifunga Scuf ya CCM na kuelekea Elephant Logde bila uoga wowote kwani hapo Palikuwa na wakereketwa wa CDM tu,kilichotokea hapo huyo Bint alivuliwa hiyo scuf yake na kuulizwa anataka nini,akajibu anataka kukaa hapo Elephant Bar,Scuf yake ilichukuliwa na kuchomwa moto na huyo Bint kuombwa aondoke kwani atawasababishia wamfanyie ukatili,huwezi amini huyo Bint aligoma kuondoka,Vijana hao waligungua kuwa katumwa kuja kuchukoza wamtandike then iwe kesi Polisi na stori kwenye Kampeni kesho,aliachwa na alipoona hakuna mtu mwenye time nae akaamua kuondoka Mwenyewe.
Nawasihi CCM acheni kuwatumawatu kuchokoza wana CDM kwani mtasababisha vurugu zisizo na msingi...
Nawasilisha...
Leo jioni mida ya saa 12 wakati wana CDM wakiwa Ngomeni kwao Elephant Logde wakiusubiri Msafara wa Mgombea ubunge wao toka Maji ya Chai, Alipita Binti mmoja akiwa amejifunga Scurf ya CCM na kuelekea Elephant Logde bila uoga wowote kwani hapo Palikuwa na wakereketwa wa CDM tu.
Kilichotokea hapo huyo Bint alivuliwa hiyo scurf yake na kuulizwa anataka nini, akajibu anataka kukaa hapo Elephant Bar, Scurf yake ilichukuliwa na kuchomwa moto na huyo Bint kuombwa aondoke kwani atawasababishia wamfanyie ukatili. Huwezi amini huyo Bint aligoma kuondoka, Vijana hao waligundua kuwa katumwa kuja kuchukoza wamtandike then iwe kesi Polisi na stori kwenye Kampeni kesho, aliachwa na alipoona hakuna mtu mwenye time nae akaamua kuondoka Mwenyewe.
Nawasihi CCM acheni kuwatumawatu kuchokoza wana CDM kwani mtasababisha vurugu zisizo na msingi...
Nawasilisha...
Mbona tayari alishafanyiwa vurugu?Kuvuliwa scarf yake c tayari shambulio hilo,tena la aibu ukizingatia ni mwanamke
ENDELEENI KUPIGA MAYOWE ILA CCM KITAPATA KURA NYINGI SANA:cool2:
leo jioni mida ya saa 12 wakati wana cdm wakiwa ngomeni kwao elephant logde wakiusubiri msafara wa mgombea ubunge wao toka maji ya chai, alipita binti mmoja akiwa amejifunga scurf ya ccm na kuelekea elephant logde bila uoga wowote kwani hapo palikuwa na wakereketwa wa cdm tu.
Kilichotokea hapo huyo bint alivuliwa hiyo scurf yake na kuulizwa anataka nini, akajibu anataka kukaa hapo elephant bar, scurf yake ilichukuliwa na kuchomwa moto na huyo bint kuombwa aondoke kwani atawasababishia wamfanyie ukatili. Huwezi amini huyo bint aligoma kuondoka, vijana hao waligundua kuwa katumwa kuja kuchukoza wamtandike then iwe kesi polisi na stori kwenye kampeni kesho, aliachwa na alipoona hakuna mtu mwenye time nae akaamua kuondoka mwenyewe.
Nawasihi ccm acheni kuwatumawatu kuchokoza wana cdm kwani mtasababisha vurugu zisizo na msingi...
Nawasilisha...