Nimemsikia mh. Livingstone akihojiwa akasema anashangaa mama ntilie kuwa na laini nne wakati yeye ni mbunge na ana laini moja, akasema tuishi kulingana na kipato, je kwa kauli hiyo amezingatia maisha halisi ya mtanzania?
Nimemsikia mh. Livingstone akihojiwa akasema anashangaa mama ntilie kuwa na laini nne wakati yeye ni mbunge na ana laini moja, akasema tuishi kulingana na kipato, je kwa kauli hiyo amezingatia maisha halisi ya mtanzania?
Mh. Lusinde, kuwa na laini nne, si kuongeza matumizi! wanaofanya hivyo wanataka kubana matumizi. Kwa taarifa yako ukimpigia mwenye laini ya tigo kwa tigo, gharama ni nafuu zaidi kuliko kutumia laini tofauti hivyo hivyo kwa laini nyingine. Ila kwako wewe mwenye kipato "kikubwa" ndiye usiyeliona hilo!
Nimemsikia mh. Livingstone akihojiwa akasema anashangaa mama ntilie kuwa na laini nne wakati yeye ni mbunge na ana laini moja, akasema tuishi kulingana na kipato, je kwa kauli hiyo amezingatia maisha halisi ya mtanzania?
Hayo ni matatizo ya kufikiria kwa kutumia masaburi hajui mama ntilie lazima awe na laini zaidi ya moja ili iwe rahisi kuwasiliana na wateja wake wanaotumia mitandao tofauti,hao ndo wabunge wanapiga meza bila sababu za msingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.