regam
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 269
- 51
Kuna hoja tundu lisu ametoa kuwa suala la usimamizi wa mahakama lisimamiwe na bodi maalum na siyo kisiasa. Limeleta mvutano na kusababisha kupiga kura kwa kusema ndiyo au hapana. Imeonekana kama wamegongana na hivyo kuanza kutaja jina mojamoja ikiambatana na jibu la ndiyo au hapana.
Inasikitisha kwamba baadhi ya wabunge akiulizwa anajibu ndiyo kisha hapana. Kwa kweli utoto umezidi sana mjengoni. Yaani inaonyesha waziwazi makinda anafurahia wale wanaopingana na hoja ya tundu lisu. Hata mizengo alianza kwa kusema ndiyo, kisha akasema siyo na alipoulizwa mara ya tatu akasema ndiyo.
Kweli inauzi saaana.
Inasikitisha kwamba baadhi ya wabunge akiulizwa anajibu ndiyo kisha hapana. Kwa kweli utoto umezidi sana mjengoni. Yaani inaonyesha waziwazi makinda anafurahia wale wanaopingana na hoja ya tundu lisu. Hata mizengo alianza kwa kusema ndiyo, kisha akasema siyo na alipoulizwa mara ya tatu akasema ndiyo.
Kweli inauzi saaana.