A Anco pete New Member Jan 17, 2012 1 0 Jan 31, 2012 #1 Hello, wapenzi wa jamii forums, kwa mara yangu ya kwanza nimejitupia kuhoji walioko makanisani. Je kuruka na kutoka jasho wakati wa sifa ni utukufu kamili?
Hello, wapenzi wa jamii forums, kwa mara yangu ya kwanza nimejitupia kuhoji walioko makanisani. Je kuruka na kutoka jasho wakati wa sifa ni utukufu kamili?
mizambwa JF-Expert Member Oct 8, 2008 4,422 1,790 Jan 31, 2012 #2 Anco pete said: nimejitupia kuhoji walioko makanisani. Je kuruka na kutoka jasho wakati wa sifa ni utukufu kamili Click to expand... yaani ungeliihamisha pale kwenye page ya DINI/IMANI labda ungelipata majibu. hapa si sehemu yake. MIZAMBWA INANIUMA SANA!!!
Anco pete said: nimejitupia kuhoji walioko makanisani. Je kuruka na kutoka jasho wakati wa sifa ni utukufu kamili Click to expand... yaani ungeliihamisha pale kwenye page ya DINI/IMANI labda ungelipata majibu. hapa si sehemu yake. MIZAMBWA INANIUMA SANA!!!