Kwanini Zanzibari hakuna utekaji kama Bara ?

Kwanini Zanzibari hakuna utekaji kama Bara ?

Utekaji, mauaji na kuteswa yamekuwa yakiendelea Zanzibar tangu kuruhusiwa vyama vingi. Hata uchaguzi wa 2020 kuna waliouawa. Hivi karibuni Baraka Shamte, mzee wa zaidi ya miaka 80 alichukuliwa nyumbani kwake akapigwa na kutupwa porini.
 
Utekaji hupo kote kote .CCM tu kutolewa hakuna wenye unafuu wa supu ya uhuru sema kwa wenzetu wanazibitiwa taarifa kuliko tanganyika
 
vijana wa CHADEMA hamuelewi kitu, Zanzibar ni muathirika zaidi wa matukio ya CCM kuliko Bara, walianza kupambana na FFU toka 90's, baada wakaja Janjaweed, baadae wakaja Zombie. hivi vikundi hata bara havijawahi kufika.
 
Zanzibar wamepitia magumu sana tangu kipindi cha mahita ngunguli ngangali ,waulize wapemba kimekuja kipindi cha dr shen uamusho watoto 2000 huwezi kujua tanganyika bado sana Zanzibar kulikuwa na kundi linaitwa mazombi walikuwa noma hao ndugu wameteseka sana acha wapumue kwanza
 
Zanzibar wamepitia magumu sana tangu kipindi cha mahita ngunguli ngangali ,waulize wapemba kimekuja kipindi cha dr shen uamusho watoto 2000 huwezi kujua tanganyika bado sana Zanzibar kulikuwa na kundi linaitwa mazombi walikuwa noma hao ndugu wameteseka sana acha wapumue kwanza
Hahaha! Kwamba Mazombie, Nacheka utafikiri ni mazuri. Hakuna wanachama walioteseka kama CUF Zanzibar hasa Pemba!
 
Mwaka 2000 kwa mara ya kwaza tz tulisababisha wakibizi wapemba walikimbilia kenya wangine UK watu walikufa ukitaka ukweli kasome kitabu cha Rais mkapa anaomba msamaha tanganyika siasa ni usanii tu
 
Sipendi kuandika lakini bora leo niandike kidogo.
Siungi mkono kinachoendelea Tanzania bara lakini ila ninachotaka kusema tu kwamba Tanzania bara bado sana kwa Zanzibar ktk siasa Za Upinzani. Watanganyika ni waoga sana ndio mana mpaka mnapewa majina ya kejeli kama keyboard Warriors. Wazanzibari wameteseka sana siasa kuliko nyinyi lakini kwa sababu miaka ya nyuma ilikua hamna Social networks huwezi kujua . Mwaka 2001 mji niliozaliwa wa Wete Pemba Waliuwawa zaidi ya Watu 40 ndani ya siku moja. Kuna jamaa alikua tuko nae mtaa mmoja siku kabla ya Maandamano alivaa Tshirt ikiwa imendikwa Freedom will come Tomorrow , siku ya maandamano akauwawa . 2005 watu maeneo ya Piki Wete Pemba walipigwa sana hadi watu wakakimbia nchi. Hadi leo kuna wa Pemba wengi tu wamekimbilia Shimoni Kenya kama wakimbizi wa kisiasa .
 
vijana wa CHADEMA hamuelewi kitu, Zanzibar ni muathirika zaidi wa matukio ya CCM kuliko Bara, walianza kupambana na FFU toka 90's, baada wakaja Janjaweed, baadae wakaja Zombie. hivi vikundi hata bara havijawahi kufika.

Siyo kweli. Vikundi hivi vilitokea upande wa Tanganyika na kwenda Zanzibar. Watu hao walikuwa ni Watu Wasiojulikana ambao wamekuwa wakisumbua Sana kwa upande wa Tanganyika hivi Sasa. Hao ni Vikosi Maalumu vya 'wavaa kaunda suti' ambao wamekuwa wakitumika katika kulinda maslahi ya Watawala.
 
Zanzibar wamepitia magumu sana tangu kipindi cha mahita ngunguli ngangali ,waulize wapemba kimekuja kipindi cha dr shen uamusho watoto 2000 huwezi kujua tanganyika bado sana Zanzibar kulikuwa na kundi linaitwa mazombi walikuwa noma hao ndugu wameteseka sana acha wapumue kwanza

Kabla ya zombie kulikua na Hanjaweeed 2:0 ni hatari sana hao jamaa
 
Sipendi kuandika lakini bora leo niandike kidogo.
Siungi mkono kinachoendelea Tanzania bara lakini ila ninachotaka kusema tu kwamba Tanzania bara bado sana kwa Zanzibar ktk siasa Za Upinzani. Watanganyika ni waoga sana ndio mana mpaka mnapewa majina ya kejeli kama keyboard Warriors. Wazanzibari wameteseka sana siasa kuliko nyinyi lakini kwa sababu miaka ya nyuma ilikua hamna Social networks huwezi kujua . Mwaka 2001 mji niliozaliwa wa Wete Pemba Waliuwawa zaidi ya Watu 40 ndani ya siku moja. Kuna jamaa alikua tuko nae mtaa mmoja siku kabla ya Maandamano alivaa Tshirt ikiwa imendikwa Freedom will come Tomorrow , siku ya maandamano akauwawa . 2005 watu maeneo ya Piki Wete Pemba walipigwa sana hadi watu wakakimbia nchi. Hadi leo kuna wa Pemba wengi tu wamekimbilia Shimoni Kenya kama wakimbizi wa kisiasa .
Hivi ndo nnavojua mimi
 
Back
Top Bottom