ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 24,801
- 60,645
Aisee ndege JOHN kwanza kabisa unakunywa beer gani?Uko Lindi au umerudi Dar?Kwenye mpira kuna matokeo matatu kushinda kushindwa na kutoa sare.cha ajabu yangs sikumbuki mara ya mwisho imefungwa lini tokea mwaka huu uanze nahisi kama imefungwa mara mbili tu au tatu..mwenye kujua yanga imefungwa mara ngapi aniambie maana nataka nimuotee mechi zijazo nimuue niweke stake kubwa sana mechi moja tu
Sio wakubwa wenzake, wakubwa wake.Akiwa anacheza na wakubwa wenzake kama wakina Al ahly, mamelond wewe uaaaaa🤣😂