Bila kujipendekeza ulikuwa unaonekana siyo mzareedoInaashiria usaliti na ni jinsi gani walikuwa Wanajipendekeza, nchi ilikuwa inatawaliwa na misingi ya kujipendekeza pendekeza tu.
Kuna hatari wengine wakachukua ubongo wa mtu mwingine maana walikuwa wanakabidhi bila kupewa receipt.Uko nao huko mjengoni tuulizie kwa faoda ya wapiga kura wenu.....huyo kisebengo mipasho simsikii kabisa sasa .....au ndio anatafuta ubongo wake alipouweka maana iko mingi pale shelf ..
..!!
LimefungwaMuhimbili bado wanaendelea!
Kwa ushindi wa taaabu saanaKwà sababu tangu tar 17.3.2021 tuliishinda korona.
Yule bibi wa wizara ya Afya amekuwa mpole balaaWanabodi.
Wizara ya afya imeacha kabisa kupromoti Nyungu baada ya kifo cha shujaa wa Africa Magufuli. Hiyo inaashiria nini Wakuu hatuoni tena matamko kama zamani nini tatizo au Corona imeisha Tanzania, mawaziri wote kimya.
Nchi iliharibiwa kabisaInaashiria usaliti na ni jinsi gani walikuwa Wanajipendekeza, nchi ilikuwa inatawaliwa na misingi ya kujipendekeza pendekeza tu.
Muhimbili bado wanaendelea!
MUNGU ametusaidia snMarehemu kafa na mauzauza yake .
Hii imetoka moyoni kweli au na wewe umeandika tu kama na wao wanavyoandika?shujaa wa Africa Magufuli
Inaashiria usaliti na ni jinsi gani walikuwa Wanajipendekeza, nchi ilikuwa inatawaliwa na misingi ya kujipendekeza pendekeza tu.
Mshirikina aliyekuwa anashurutisha ushirikina dhidi ya sayansi kashafariki.Inaashiria usaliti na ni jinsi gani walikuwa Wanajipendekeza, nchi ilikuwa inatawaliwa na misingi ya kujipendekeza pendekeza tu.
Hilo swali nyie Watetezi wa Jiwe ndio inatakiwa mtupe jibu.Wanabodi.
Wizara ya afya imeacha kabisa kupromoti Nyungu baada ya kifo cha shujaa wa Africa Magufuli. Hiyo inaashiria nini Wakuu hatuoni tena matamko kama zamani nini tatizo au Corona imeisha Tanzania, mawaziri wote kimya.