#COVID19 Kwanini Wizara ya Afya imeachana na nyungu ili kupambana na Corona?

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,973
32,368
Wanabodi.

Wizara ya Afya imeacha kabisa kupromoti Nyungu baada ya kifo cha shujaa wa Afrika Dkt. Magufuli.

Hiyo inaashiria nini Wakuu hatuoni tena matamko kama zamani nini tatizo au Corona imeisha Tanzania, mawaziri wote kimya.
 
Wanabodi.

Wizara ya afya imeacha kabisa kupromoti Nyungu baada ya kifo cha shujaa wa Africa Magufuli. Hiyo inaashiria nini Wakuu hatuoni tena matamko kama zamani nini tatizo au Corona imeisha Tanzania, mawaziri wote kimya.
Hilo swali nyie Watetezi wa Jiwe ndio inatakiwa mtupe jibu.
 
Back
Top Bottom