Kwanini wazungumza Kiswahili ni Masikini?

Kwanini wazungumza Kiswahili ni Masikini?

Nyamanoro

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2011
Posts
651
Reaction score
518
Nimekuwa nikitafakari sana kwanini Nchi wazungumza kiswahili Masikini?Najua kuna nchi nyingine zisizozungumza kiswahili ni Masikini, lakini nimegundua kuwa utamaduni wa wazungumza kiswahili ni chachu ya mambo yafuatayo: Ujinga wa kielimu, ushirikina, maendeleo duni, siasa za kinafiki(kuama vyama kwa kisingizio cha haki yake na kudharau haki ya aliyemchagua bila kujali chama alichotoka).kupeana moyo kijinga kijinga, kufuata mkumbo wa mambo hata ambayo hanaya tija,kushabikia timu za ulaya na kuvaa majezi mfan ya man U,Arsenal,Chelsea, kujazana uwanjani kinafiki kushabikia timu za mataifa yao lakini huoni ata mmoja aliyevaa jezi ya timu yao kuhamasisha kama tunavyoona nchi wasio waswahili.viongozi kuwa na siasa za maji taka, kupora fomu za wagombea, nikitaja machache. Tazama ramani ya Afrika Mashari alafu utafakari.
 
Yawezekana ikawa ni kweli,lakini wewe unaonekana una umasikini zaidi wa kimawazo maana umebwabwaja hasa tena kwa lugha ile ile.
 
Ulichokiandika hakihusiani kabisa na Uzungumzaji wa Lugha ya Kiswahili.

Hizo ni tabia na mienendo ya jamii husika.
 
Umaskini ni nini? Usikute wewe ndio maskini unataka kuambukiza wenzako..
 
Ni kweli hata Haiti, Central Africa Republic, Somalia, South Sudan, Nepal, Yemen, Malawi, Msumbiji, Zambia nk ni maskini sababu ya kiswahili..
Yaani hii ungefanaya kama Research paper kuhusianisha hizo variables naamini usingemaliza hata hiyo chapter four wangeitupa research yako kwa dustbin.
Bado hujatoa sababu za mantiki zenye uthibitisho usioacha shaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuwa nikitafakari sana kwanini Nchi wazungumza kiswahili Masikini?Najua kuna nchi nyingine zisizozungumza kiswahili ni Masikini, lakini nimegundua kuwa utamaduni wa wazungumza kiswahili ni chachu ya mambo yafuatayo: Ujinga wa kielimu, ushirikina, maendeleo duni, siasa za kinafiki(kuama vyama kwa kisingizio cha haki yake na kudharau haki ya aliyemchagua bila kujali chama alichotoka).kupeana moyo kijinga kijinga, kufuata mkumbo wa mambo hata ambayo hanaya tija,kushabikia timu za ulaya na kuvaa majezi mfan ya man U,Arsenal,Chelsea, kujazana uwanjani kinafiki kushabikia timu za mataifa yao lakini huoni ata mmoja aliyevaa jezi ya timu yao kuhamasisha kama tunavyoona nchi wasio waswahili.viongozi kuwa na siasa za maji taka, kupora fomu za wagombea, nikitaja machache. Tazama ramani ya Afrika Mashari alafu utafakari.
Ungeleta uzi huu kwa kiingereza mkuu au kwa lugha yoyote unayoona ni yakimaendeleo ili kujitenga na "Waswahili" na kuonyesha msisitizo wa hoja yako
 
Nimekuwa nikitafakari sana kwanini Nchi wazungumza kiswahili Masikini?Najua kuna nchi nyingine zisizozungumza kiswahili ni Masikini, lakini nimegundua kuwa utamaduni wa wazungumza kiswahili ni chachu ya mambo yafuatayo: Ujinga wa kielimu, ushirikina, maendeleo duni, siasa za kinafiki(kuama vyama kwa kisingizio cha haki yake na kudharau haki ya aliyemchagua bila kujali chama alichotoka).kupeana moyo kijinga kijinga, kufuata mkumbo wa mambo hata ambayo hanaya tija,kushabikia timu za ulaya na kuvaa majezi mfan ya man U,Arsenal,Chelsea, kujazana uwanjani kinafiki kushabikia timu za mataifa yao lakini huoni ata mmoja aliyevaa jezi ya timu yao kuhamasisha kama tunavyoona nchi wasio waswahili.viongozi kuwa na siasa za maji taka, kupora fomu za wagombea, nikitaja machache. Tazama ramani ya Afrika Mashari alafu utafakari.
Ungesema maeneo yaliyokaliwa na waarabu sana baada ya kuungia nchini mwetu miaka mingi ilyopita hapo sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuanzia leo ongea tu kiingereza ujikomboe mwenzangu,maan hakuna namna!!!
 
Nadhani sio wazungumzaji wa kiswahili ila wasio jua lugha ya Malkia wengi ni maskini.

Sababu ni kwamba, Fursa nyingi za kielimu/Maarifa hasa ya sanaa za maisha na nyanja nyingine za kupanua ufahamu hupatikana kwa lugha ya kiingereza.

Sasa kama hujui lugha hii manake ni upo gizani, umekosa Elimu na Maarifa, ukikosa Elimu wewe ni maskini wa kila kitu.
 
Nadhani sio wazungumzaji wa kiswahili ila wasio jua lugha ya Malkia wengi ni maskini.

Sababu ni kwamba, Fursa nyingi za kielimu/Maarifa hasa ya sanaa za maisha na nyanja nyingine za kupanua ufahamu hupatikana kwa lugha ya kiingereza.

Sasa kama hujui lugha hii manake ni upo gizani, umekosa Elimu na Maarifa, ukikosa Elimu wewe ni maskini wa kila kitu.
Ujerumani, Korea Zote, Wachina, Ufaransa, na nchi zingine nje ya Africa. Zikoje kiuchumi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yawezekana ikawa ni kweli,lakini wewe unaonekana una umasikini zaidi wa kimawazo maana umebwabwaja hasa tena kwa lugha ile ile.
Huyo jamaa ana umaskini mbaya zaidi. Wa mawazo.
Hivi mtu kama Bakhresa tajiri mkubwa anaongea lugha gani?
 
Nadhani sio wazungumzaji wa kiswahili ila wasio jua lugha ya Malkia wengi ni maskini.

Sababu ni kwamba, Fursa nyingi za kielimu/Maarifa hasa ya sanaa za maisha na nyanja nyingine za kupanua ufahamu hupatikana kwa lugha ya kiingereza.

Sasa kama hujui lugha hii manake ni upo gizani, umekosa Elimu na Maarifa, ukikosa Elimu wewe ni maskini wa kila kitu.
Kuna Matajiri wengi mno wasiozungumza lugha ya Malkia
 
Back
Top Bottom