Kwanini wawepo Wanasheria na Mawakili mahakamani na si kila mtu azijue tu sheria kama Amri za Mungu?

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,581
15,350
Sheria ilipaswa kuwa ni sharti la lazima tujue kuanzia watoto. Kama hatufundishwi darasani na makanisani kama amri kumi basi ule msemo Kutokujua Sheria sio hudhuru haukutakiwa kuwepo.

Huo msemo ulipaswa kuwa Kwa wasomi wa Sheria sio sisi maamuma na wananchi wasio na ufahamu huo.

Ni kama kanjama flani ka kuwapa Hawa majamaa ulaji. Ilitakiwa Kila mtu ajitetee mwenyewe na hao jamaa watafute Shughuli nyingine.

Wakuu wazo tu limenijia, wajuvi wa Kwa Nini mwanasheria, kwanini tuhukumiwe bila ujuzi wa mambo ya Sheria, Kwa Nini hatufundishwi kama Sheria za kumkosea Mungu zinavyosisitizwa.

Wajuvi mnisaidie.
 
Nani aliyekuzuia kusoma hiyo sheria somesha kwenu wote hiyo sheria
Tatizo sio langu, ni la Dunia. Maana hata mbele za Allah tutahukumiwa bila mwanasheria .

Nilitaka kujua hii ilianzajeanzaje hii. Maana ni kitu Cha kidunia
 
Sheria ilipaswa kuwa ni sharti la lazima tujue kuanzia watoto. Kama hatufundishwi darasani na makanisani kama amri kumi basi ule msemo Kutokujua Sheria sio hudhuru haukutakiwa kuwepo.

Huo msemo ulipaswa kuwa Kwa wasomi wa Sheria sio sisi maamuma na wananchi wasio na ufahamu huo.

Ni kama kanjama flani ka kuwapa Hawa majamaa ulaji. Ilitakiwa Kila mtu ajitetee mwenyewe na hao jamaa watafute Shughuli nyingine.

Wakuu wazo tu limenijia, wajuvi wa Kwa Nini mwanasheria, kwanini tuhukumiwe bila ujuzi wa mambo ya Sheria, Kwa Nini hatufundishwi kama Sheria za kumkosea Mungu zinavyosisitizwa.

Wajuvi mnisaidie.
Katiba ya nchi ndio ilipaswa kufundishwa kwa kila MTz toka darasa la 3 mpaka kidato cha nne, angalau waTz waijue ndani - nje kama wanavyojua vitabu vya dini zao. Ila kuijui Sheria kwa undani, bado ingebidi mtu apate shahada.
 
Katiba ya nchi ndio ilipaswa kufundishwa kwa kila MTz toka darasa la 3 mpaka kidato cha nne, angalau waTz waijue ndani - nje kama wanavyojua vitabu vya dini zao. Ila kuijui Sheria kwa undani, bado ingebidi mtu apate shahada.
Asante Kwa ufafanuzi.

Level ya katiba sawa. Sijui hata darasa la ngapi Huwa inasisitizwa Zaidi ya kutajwa tu uraia form two/one
 
Kwa nini kuwe na madaktari watu wadijitibu tu nyumbani.heshimu ugali wa watu
 
Katika hao maamuma mimi simo tafadhali.
Hahahah samahani mkuu.
Mimi nikijitutumua kujitetea mahakamani watajichukulia ushindi swalia kwanza tu. Huwa naamini nikiishi taratibu za Imani yangu basi Sheria zote nimezikidhi automatically, Sasa kwenda kusimama na kuhojiana kama wale wajomba wa Kesi ya mbowe naona ntaishiwa maneno
 
Sheria ilipaswa kuwa ni sharti la lazima tujue kuanzia watoto. Kama hatufundishwi darasani na makanisani kama amri kumi basi ule msemo Kutokujua Sheria sio hudhuru haukutakiwa kuwepo.

Huo msemo ulipaswa kuwa Kwa wasomi wa Sheria sio sisi maamuma na wananchi wasio na ufahamu huo.

Ni kama kanjama flani ka kuwapa Hawa majamaa ulaji. Ilitakiwa Kila mtu ajitetee mwenyewe na hao jamaa watafute Shughuli nyingine.

Wakuu wazo tu limenijia, wajuvi wa Kwa Nini mwanasheria, kwanini tuhukumiwe bila ujuzi wa mambo ya Sheria, Kwa Nini hatufundishwi kama Sheria za kumkosea Mungu zinavyosisitizwa.

Wajuvi mnisaidie.
Advantages of division of labour

Soma hii link unaweza kupata mengi ya kukusaidia.

 
Tatizo sio translation bali interpretation!
Mwl Nyerere alipata kusema,
"kuna kazi kila mtu anaweza kufanya, lakin kazi ya sheria na hukumu si kati y kazi hizo!"
Nadhan umeelewa si kama mav...zi kwamba kila mtu anaweza kuota
 
Tatizo sio translation bali interpretation!
Mwl Nyerere alipata kusema,
"kuna kazi kila mtu anaweza kufanya, lakin kazi ya sheria na hukumu si kati y kazi hizo!"
Nadhan umeelewa si kama mav...zi kwamba kila mtu anaweza kuota
Hahahahaha. Utakuwa mwanasheria wewe. Kama Kasema JKN Mimi ni nani nibishe mkuu.

Nimenyenyekezwa na comment yako mkuu
 
Back
Top Bottom