Kwanini wawe wanawake wa kibongo tu?

Tatizo mtoa post hujui Shida na raha, na baada ya shida na kuchoka, watu huendi sehemu za starehe.
 
Last edited by a moderator:

Khaa!! Yaani wewe kila jua likichomoza unawaza mambo kama haya!!!:crazy:
 
hakuna cha kushangaza jibu ni simpela tu kazi kama kazi nyingine
 
Siku nyingine waza jinsi ya kupata pesa utunze familia yako kuliko kuwaza kwann wamakonde wako bar! Miaka anasogea, mvi zinaongezeka kichwani wewe unawagawa wabongo na wazenji, khaaaa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…