Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,474
Nimekaa nikijiuliza suala hili kila likichomoza jua, nalizungumza hili kwa upande wa disco, bar, mahotelini kwa wale waishio Zanzibar.
Nimejaribu kufanya utafiti sehemu hizo nilizozitaja kwamba ukienda %100 kubwa ni wanawake wa kibongo na siwazanzibar kwanini?
Mara utamkuta dem anaongea kizanzibar, muulize kabila sasa, mmakonde, mnyamwezi, mchaga, wamejaa intebe na paris na sehemu zingine ambazo sizijui.
Tukija kwa upande wa wanaume ni mchanganyiko, nalileta kwenu hili wakuu mwenye hoja, malalamiko, kunikosoa nawakaribisha uwe na hoja ya kunipinga ikiwa umepita sehemu hizo nilizozitaja. MATUSI SI PAHALA PAKE.
Lakini ukija kwa upande wa wanaume angalia mashoga wengi wanatoka......ukweli ni kwamba wanatokea hukohuko
Ni kwa sababu ni watafutaji.
Mkuu kwenye madisko wanatafuta nini usiku mzima.
Mkuu punguza kupanik kwasababu dada ako yumo? haupingi kwa hoja umekuruka, uzi niliotoa kama hujafam ungeuliza kama mwenzako.
Mkuu punguza kupanik kwasababu dada ako yumo? haupingi kwa hoja umekuruka, uzi niliotoa kama hujafam ungeuliza kama mwenzako.
Umesema matusi si mahara pake sasa dada wa mwenzio ameingiaje hapa au aliposema ushoga amekugusa ndio mambo yako nini mkuu.punguza jazba na kupanic
Aisee jamaa kapaniki mbaya kuna shida pahala si bure