Kwanini watu wengi wanatamani kupata Ubunge

Kwanini watu wengi wanatamani kupata Ubunge

Pasta Joshua

Member
Joined
Aug 2, 2020
Posts
23
Reaction score
131
Kazi haina KPI, haina immediate supervisor, haina biweekly report.

Huitajiki kufika eneo la kazi saa 1:30 asubuhi. Hakuna anayekupigia simu kukuuliza lolote. Mshahara mnene na marupurupu kibao.

Baada ya miaka mitano, unakunja milioni 500.

Nionyeshe kazi gani bora kuliko hii.
 
Kazi haina KPI, haina immediate supervisor, haina biweekly report.

Huitajiki kufika eneo la kazi saa 1:30 asubuhi. Hakuna anayekupigia simu kukuuliza lolote. Mshahara mnene na marupurupu kibao.

Baada ya miaka mitano, unakunja milioni 500.

Nionyeshe kazi gani bora kuliko hii.
Ubunge umekuwa si kuwatumikia wananchi bali njia rahisi ya kutajirika

Hakuna michujo tena, kila mtu anajipitia hovyo
 
Swali inawezekana likawa la kijinga sana lakini Bungeni ndo sehemu kuna pesa ya bure punguza posho za wabunge na mshaara kama utaona kuna mtu atakimbilia Bungeni ndo Utakua mwanzo mzuri wa kupata viongozi
 
Back
Top Bottom