mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 82,278
- 109,162
Hao polisi mnaowachukia hivi wasipofanya kazi masaa machache unadhani kitatokea nn......
wewe unaenda mshtakia mhalifu polisi hao hao wana cheza deal na mhalifu.....yaani wanamsanua mhalifu
mpaka hapo polisi hakuna kitu kabisa