Habari zenu wana JF!
Mh yeah, well! Nimekaa chini nikawaza sana nikakosa majibu jinsi wananchi wanavyolichukia jeshi la polisi. Wananchi hawawapendi askari polisi, wanawachukia kupita maelezo, ikitokea askari kapata janga, ndio furaha yao hulipuka na kushadadia kwa maneno ya staha. Wengine husema, 'bora afe', wapigwe tu, mara wengine huwaita kwa jina lingine jipya 'Policcm'.
Sasa mimi nashangaa sana, Kwanini chombo cha dola kinahusishwa na mambo ya siasa? Kwa Ninavyofahamu mimi, chombo cha dola ni mali ya serikali, na serikali na siasa ni vitu viwili tofauti. Sasa Kwanini kulituhumu jeshi la polisi kuwa ni la chama cha CCM? Kwani CCM ina chuo cha kuzalishia Polisi? Chuo chao kiko wapi?
Kwa Ninavyojua mimi ni kwamba serikali ndio inachuo chakuzalisha askari kilichopo Moshi, na askari ni kwa ajili ya wananchi, sasa kwanini raia wawachukie watu ambao wamewapa kwa hiari yao kulinda usalama wao na mali zao? Chuki Za nini juu ya jeshi la polisi?
Mh yeah, well! Nimekaa chini nikawaza sana nikakosa majibu jinsi wananchi wanavyolichukia jeshi la polisi. Wananchi hawawapendi askari polisi, wanawachukia kupita maelezo, ikitokea askari kapata janga, ndio furaha yao hulipuka na kushadadia kwa maneno ya staha. Wengine husema, 'bora afe', wapigwe tu, mara wengine huwaita kwa jina lingine jipya 'Policcm'.
Sasa mimi nashangaa sana, Kwanini chombo cha dola kinahusishwa na mambo ya siasa? Kwa Ninavyofahamu mimi, chombo cha dola ni mali ya serikali, na serikali na siasa ni vitu viwili tofauti. Sasa Kwanini kulituhumu jeshi la polisi kuwa ni la chama cha CCM? Kwani CCM ina chuo cha kuzalishia Polisi? Chuo chao kiko wapi?
Kwa Ninavyojua mimi ni kwamba serikali ndio inachuo chakuzalisha askari kilichopo Moshi, na askari ni kwa ajili ya wananchi, sasa kwanini raia wawachukie watu ambao wamewapa kwa hiari yao kulinda usalama wao na mali zao? Chuki Za nini juu ya jeshi la polisi?