kanyela mumo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 2,034
- 2,106
Sijui ni ganja ninazo puliza au ni maruweruwe ya wakati huu ninaopitia!
Let me be honest. Nimenza mwaka vibaya nusu nione nafsi yangu haina thamani japo ina thamani kubwa na wengi huwa wana respect. Jeuri niliyokuwa nayo ilitowekea Gizani ila Mungu ni mwema kwa kila jambo na wakati wote.
Life liliponipiga zaidi nikakosa Pesa ya Tumbaku Ubalozi ikabidi nipige mishe za kuosha magari kwa siku buku tatu. Hiyo ikiwa pamoja na chakula na nauli. Amini nakwambia ilikuwa ngumu lakini ilinijenga zaidi kuujua mtaa maana ni miaka mingi sana sijapitia street road hope.
Wakati naosha Magari nimeona umalaya wa aina yake kwa baadhi ya hawa watu wenye magari, bodaboda, daladala na hata sasa kwa madereva wa Uber. Hakika imeniuzunisha sana na kubaki na maswali mengi kama hili: Je, kwanini watu wanapenda walipo tokea?
Kwanini baadhi ya Wake kwa Wanaume sio waaminifu kiasi hiki? Na ni idadi kubwa sana.
Vibinti vinatumika kama Big G na vipo bize kupita maelezo kupost picha za kuashiria umalaya na kuomba namna watu wanavyoweza ku-share picha zao za kikahaba kahaba, kweli?
Nafikiria mpaka nachoka! Wazazi tuamke na jamii nzima tuamke; maadili ya kitaifa ni kitu muhimu, hivi sasa si salama kwa taifa letu linalokwenda kwa speed katika uchumi wa kati.
Simu ni kitu kinachotuingiza tusipo tarajia iwe kwenye matatizo au furaha, ni wakati wako kutumia simu kwa ajili ya future yako. Kama wewe ni mrina asali, jitaidi kusoma kuhusu uvunaji wa asali au pengine namna nzuri ya kuweka mizinga au kuchonga au hata namna ya kuwavutia nyuki sehemu zenye mizinga.
Au kama una ndoto ya kuwa bondia penda kutazama mabodia waliopita, namna wanavyo sukuma ngumi au kukwepa ngumi, hii itakusaidi kuondokana au kupunguza namna ya kupenda ulipo toka na pia itakusaidia kujua zaidi kuhusu kile kinacho kuletea kipato na hata kuongeza kipato.
Tusipende sana tulipo toka bora tupende KAZI na kwa mbali "Msuba" na kuwa mjinga. Kama huu ujinga nilioandika mimi, maana mimi ni mjinga mpaka natamani niwe limwehu.
Weekend njema Waungwana wangu. Mwana kaishanyonga, ngoja nile paf-paf-paf nipate utulivu wa karne hii namna gani nitaleta heshima kwa familia na jamii yangu ya Kitanzania.
One love kwa wote. Baharia wa zamani natokomea ki-Shaba Ranks, Buyaga buyagaaa maaaan!
Sent using Jamii Forums mobile app
Let me be honest. Nimenza mwaka vibaya nusu nione nafsi yangu haina thamani japo ina thamani kubwa na wengi huwa wana respect. Jeuri niliyokuwa nayo ilitowekea Gizani ila Mungu ni mwema kwa kila jambo na wakati wote.
Life liliponipiga zaidi nikakosa Pesa ya Tumbaku Ubalozi ikabidi nipige mishe za kuosha magari kwa siku buku tatu. Hiyo ikiwa pamoja na chakula na nauli. Amini nakwambia ilikuwa ngumu lakini ilinijenga zaidi kuujua mtaa maana ni miaka mingi sana sijapitia street road hope.
Wakati naosha Magari nimeona umalaya wa aina yake kwa baadhi ya hawa watu wenye magari, bodaboda, daladala na hata sasa kwa madereva wa Uber. Hakika imeniuzunisha sana na kubaki na maswali mengi kama hili: Je, kwanini watu wanapenda walipo tokea?
Kwanini baadhi ya Wake kwa Wanaume sio waaminifu kiasi hiki? Na ni idadi kubwa sana.
Vibinti vinatumika kama Big G na vipo bize kupita maelezo kupost picha za kuashiria umalaya na kuomba namna watu wanavyoweza ku-share picha zao za kikahaba kahaba, kweli?
Nafikiria mpaka nachoka! Wazazi tuamke na jamii nzima tuamke; maadili ya kitaifa ni kitu muhimu, hivi sasa si salama kwa taifa letu linalokwenda kwa speed katika uchumi wa kati.
Simu ni kitu kinachotuingiza tusipo tarajia iwe kwenye matatizo au furaha, ni wakati wako kutumia simu kwa ajili ya future yako. Kama wewe ni mrina asali, jitaidi kusoma kuhusu uvunaji wa asali au pengine namna nzuri ya kuweka mizinga au kuchonga au hata namna ya kuwavutia nyuki sehemu zenye mizinga.
Au kama una ndoto ya kuwa bondia penda kutazama mabodia waliopita, namna wanavyo sukuma ngumi au kukwepa ngumi, hii itakusaidi kuondokana au kupunguza namna ya kupenda ulipo toka na pia itakusaidia kujua zaidi kuhusu kile kinacho kuletea kipato na hata kuongeza kipato.
Tusipende sana tulipo toka bora tupende KAZI na kwa mbali "Msuba" na kuwa mjinga. Kama huu ujinga nilioandika mimi, maana mimi ni mjinga mpaka natamani niwe limwehu.
Weekend njema Waungwana wangu. Mwana kaishanyonga, ngoja nile paf-paf-paf nipate utulivu wa karne hii namna gani nitaleta heshima kwa familia na jamii yangu ya Kitanzania.
One love kwa wote. Baharia wa zamani natokomea ki-Shaba Ranks, Buyaga buyagaaa maaaan!
Sent using Jamii Forums mobile app