Kwanini watu wakikaa muda mrefu mahusiano yanafifia?

Kwanini watu wakikaa muda mrefu mahusiano yanafifia?

KUNGURUHAFUGIKI

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
346
Reaction score
74
Habarini wakuu,

Nimekaa nikajiuliza kwanini pindi watu wanapoanza mahusiano mapenzi yanakuwa motomoto ila inapofika muda fulani mapenzi yao ufifia na mtu anafikiria kuwa na mchepuko.

Nini linakuwa tatizo na njia zipi unazitumia kuboresha mahusiano yako toa maoni yako au unashauri njia zipi zitumike kuboresha mahusiano?
 
Jibu ni kuwa katika mapenzi epuka sana mazoea. Kila siku muone mpenzi wako ni mpya na kila siku buni mambo mapya yatakayoimarisha mapenzi yenu. Ukiona mpenzi wa mwenzio kapendeza mpaka unamtamani na wewe mpendezeshe mpenzio na utamuona ni mzuri kuliko wote. Ubunifu ni muhimu sana. Epuka ugomvi wa mara kwa mara ni sumu na yanapunguza sana mapenzi.
 
Jibu ni kuwa katika mapenzi epuka sana mazoea. Kila siku muone mpenzi wako ni mpya na kila siku buni mambo mapya yatakayoimarisha mapenzi yenu. Ukiona mpenzi wa mwenzio kapendeza mpaka unamtamani na wewe mpendezeshe mpenzio na utamuona ni mzuri kuliko wote. Ubunifu ni muhimu sana. Epuka ugomvi wa mara kwa mara ni sumu na yanapunguza sana mapenzi.

Umemaliza yote. Hapa watu wapite tu like zao mchezo uishe.
 
Jibu ni kuwa katika mapenzi epuka sana mazoea. Kila siku muone mpenzi wako ni mpya na kila siku buni mambo mapya yatakayoimarisha mapenzi yenu. Ukiona mpenzi wa mwenzio kapendeza mpaka unamtamani na wewe mpendezeshe mpenzio na utamuona ni mzuri kuliko wote. Ubunifu ni muhimu sana. Epuka ugomvi wa mara kwa mara ni sumu na yanapunguza sana mapenzi.

asante mkuu umefumbua macho
 
KUNGURUHAFUGIKI

siku zote katika mahusiao zingatia na epuka mazoea fanya kila uwezavyo kuona kila k2 n kipya kwa mpenz wako, pia utani wa kuzidi kiwango nao hupelekea kuxhuka kwa kax ya mapenz
 
Last edited by a moderator:
Jibu ni kuwa katika mapenzi epuka sana mazoea. Kila siku muone mpenzi wako ni mpya na kila siku buni mambo mapya yatakayoimarisha mapenzi yenu. Ukiona mpenzi wa mwenzio kapendeza mpaka unamtamani na wewe mpendezeshe mpenzio na utamuona ni mzuri kuliko wote. Ubunifu ni muhimu sana. Epuka ugomvi wa mara kwa mara ni sumu na yanapunguza sana mapenzi.

Big up 👍umenena mkuu
 
Ukiona watu wanagombana na hata kununiana
na wengine hata kuitishwa vikao vya kuwasuluhisha usifikiri ndo mapenzi yamepungua
wengine hapo ndo yamezidi....

Kuna watu kugombana na kununiana ni expression zao tu kwa wanao wapenda
ndo maana hawagombani na watu baki......

love na kui express watu hotofautiana......wengine maugomvi ya kila mara ni kwa wanao wapenda tu
mapenzi yakiisha hata umfanye nini hagombani na wewe
 
Ukiona watu wanagombana na hata kununiana
na wengine hata kuitishwa vikao vya kuwasuluhisha usifikiri ndo mapenzi yamepungua
wengine hapo ndo yamezidi....

Kuna watu kugombana na kununiana ni expression zao tu kwa wanao wapenda
ndo maana hawagombani na watu baki......

love na kui express watu hotofautiana......wengine maugomvi ya kila mara ni kwa wanao wapenda tu
mapenzi yakiisha hata umfanye nini hagombani na wewe

kumbe love ni kizungumkuti
 
Ukiona watu wanagombana na hata kununiana
na wengine hata kuitishwa vikao vya kuwasuluhisha usifikiri ndo mapenzi yamepungua
wengine hapo ndo yamezidi....

Kuna watu kugombana na kununiana ni expression zao tu kwa wanao wapenda
ndo maana hawagombani na watu baki......

love na kui express watu hotofautiana......wengine maugomvi ya kila mara ni kwa wanao wapenda tu
mapenzi yakiisha hata umfanye nini hagombani na wewe

Mhhhhhhhh...
 
tangu lini mboga ilokwishapikwa ikawekwa kwa jokofu itabaki kuwa na ladha ile ile kwa siku zijazo
 
Sababu kubwa mi naona ni kuzoeana kupita kiasi kwa maana kwamba inafika hatua unataka kufungua ukurasa mpya
 
Back
Top Bottom