nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,089
- 12,830
Uniwekea mawazo mengi sana.
Ila hawa watu kma wakina Bob walikuw diff sana
tatizo huku kwetu wanasema bangi ni haramu labda tatizo lilianzia hapo
A real activist.Kwenye moja ya interview Bob Marley aliulizwa are you a rich man? Akajibu what do you mean by rich man?......interviewer akamwambia do you have a lot of possession.....like 10 million in your bank account? Tuff Gong akajibu......possessions make you rich? I dont have that type of riches my riches is life forever.
Kwamtazamo wangu Robert Nesta alikuwa mtu mwenye akili sana.....he was genius in reggae music. Bob was real real real.......you know what a mean. Rest in Power #legend