alafu baadhi ya watanzania wana tabiambaya sana UKIMUULIZA SWALI ANAKUJIBU KWA SWALI.
MFANO:
Juma: we asha unafanya nini hapo?
Asha : kwani we unaona nafanyaje?
mwengine:
Juma: Ashaaaa naona sasa unakula eti eeh?
Asha: hapana Najamba Mkuu kwani vepee?