Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Dunia nzima kila mtu ana wasi wasi na kuogopa hata Wamarekani wenyewe na Wazungu ni ngumu kukuta wakishabikia vita na kufurahia, lakini sasa hivi Watanzania wamegeuza ni Yanga vs Simba post baada ya post wakishangilia Vita ya USA, NATO vs Islamic Republic of Iran, sasa ni kwa nini?
Je, mnapenda kuona watu wakifa na watoto na wazee wakipigwa mabomu? I mean watu ambao Bara letu la Afrika linachuruzika damu kila mahali tulipaswa kuwa mwisho kushangilia vita.
Je, tatizo ni IQ ndogo ya kushindwa kuelewa mambo au ni sadism tu?
Hivi Tanzania tutafaidika nini kukiwa na nuclear war hadi mfurahie?
Je, mnapenda kuona watu wakifa na watoto na wazee wakipigwa mabomu? I mean watu ambao Bara letu la Afrika linachuruzika damu kila mahali tulipaswa kuwa mwisho kushangilia vita.
Je, tatizo ni IQ ndogo ya kushindwa kuelewa mambo au ni sadism tu?
Hivi Tanzania tutafaidika nini kukiwa na nuclear war hadi mfurahie?