Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Hivi ni kwa nini tuko hivi? Mara nyingi ni kama Maisha yetu yote yamezungukwa na unafiki na visasi, wakati mwingine huwa nafikiri huwa hatuna cha kufanya isipokuwa kukaa na kusubiri Binadamu xyz ashindwe kufanikiwa kwenye jambo lake halafu tuanze misemo, mara sijui Mungu halali, utasikia malipo hapa hapa Duniani, mara kiko wapi? Ni kwa nini tuko hivi lkn? Nimebahatika kukutana na jamii mbali mbali Duniani lkn sijawahi kukutana na tabia kama hii!
Kwenye jamii nyingine kuna tofauti kati ya Mwanamke na Mwanaume hasa kwenye tabia, kwamba Wanawake wanaongea sana na Wanaume ni wakimya na hutumia logic wakati Wanawake hutumia emotions, lkn kwa Tanzania hii tofauti hauioni, kwa kweli hakuna tofauti kati ya Mwanamke na Mwanume ukiondoa viungo vya mwili, yaani kwa kusoma tu watu wanavyoandika hauwezi kujua kama ni Mwanamke au Mwanaume mpaka umuone, angalia washabiki wa Mangi Kimambi huwo ni mfano mdogo tu, huyo Mwanamke anaandika mambo kike yaani umbea, lkn washabiki wake ni Wanaume, jamii nyingine huwezi kukuta kwa mfano the Kardashians wakawa na washabiki Wanaume, labda magay siku zote wanaofwatilia the kardashians ni Wanawake, lkn kwa Tanzania ni tofauti!
Ni ajabu Tanzania tuko mstari wa mbele kupinga ushoga, lkn sehemu kubwa ya Wanaume wana tabia za Kike, hii ni paradox, ...
Kwenye jamii nyingine kuna tofauti kati ya Mwanamke na Mwanaume hasa kwenye tabia, kwamba Wanawake wanaongea sana na Wanaume ni wakimya na hutumia logic wakati Wanawake hutumia emotions, lkn kwa Tanzania hii tofauti hauioni, kwa kweli hakuna tofauti kati ya Mwanamke na Mwanume ukiondoa viungo vya mwili, yaani kwa kusoma tu watu wanavyoandika hauwezi kujua kama ni Mwanamke au Mwanaume mpaka umuone, angalia washabiki wa Mangi Kimambi huwo ni mfano mdogo tu, huyo Mwanamke anaandika mambo kike yaani umbea, lkn washabiki wake ni Wanaume, jamii nyingine huwezi kukuta kwa mfano the Kardashians wakawa na washabiki Wanaume, labda magay siku zote wanaofwatilia the kardashians ni Wanawake, lkn kwa Tanzania ni tofauti!
Ni ajabu Tanzania tuko mstari wa mbele kupinga ushoga, lkn sehemu kubwa ya Wanaume wana tabia za Kike, hii ni paradox, ...