hakika hata mie sitamchagua
Mpeleke mahakamani basi. Unaongea pumba tu! Halafu acha kuhukumu wewe!
Umetumwa wewe! LOWASSA ndie Rais wako ajaye.
sijasoma bandiko lako lote coz sijaona cha kujibu .... Sema kwann ww hutamchagua lowasa sio watanzania, usitujumlishe.
Pili, lowasa ni next president whether u like it or not.
Ssshiv nawaambia ukweli, bado siku chache sn, kuna watakaolia, kuna watakaokata tamaa kabisa baada ya matokeo..... Stay tuned.
KWANINI WATAZANIA HATUTAMCHAGUA EDWARD LOWASSA:
Kwanza si mwadillifu, ana vinasaba vya wizi na ufisadi, mfano Richmond, Scotland yard, shivacom tz n.k
Pili, Lowassa ni mbaguzi, mbinafsi asiyependa umoja wa kitaifa.
Tatu, Lowassa ni mdini na mkabila ambaye anatanguliza maslahi yake na watu wanaomzunguka.
Nne, Lowasa si mzaledo ni mpenda choko choko asiye penda uwepo wa amani na usalama.
Tano, Lowassa mwongo na mwenye ndimi mbili, haaminiki.
Sita, Makundi yanayopigana kumpeleka lowassa ikulu ni genge la wezi, na watatumia ikulu kwa faida na biashara zao binafsi.
Mwisho, Lowassa ni mla rushwa na fisadi ambaye anapigania biashara zake mbalimbali kwa kukwepa kodi.
Watanzania hatutamchagua Lowassa kwa sababu amekosa sifa na haaminiki.
Kale malimao raisi ajae ni lowassa
Mpeleke mahakamani basi. Unaongea pumba tu! Halafu acha kuhukumu wewe!
KWANINI WATAZANIA HATUTAMCHAGUA EDWARD LOWASSA:
Kwanza si mwadillifu, ana vinasaba vya wizi na ufisadi, mfano Richmond, Scotland yard, shivacom tz n.k
Pili, Lowassa ni mbaguzi, mbinafsi asiyependa umoja wa kitaifa.
Tatu, Lowassa ni mdini na mkabila ambaye anatanguliza maslahi yake na watu wanaomzunguka.
Nne, Lowasa si mzaledo ni mpenda choko choko asiye penda uwepo wa amani na usalama.
Tano, Lowassa mwongo na mwenye ndimi mbili, haaminiki.
Sita, Makundi yanayopigana kumpeleka lowassa ikulu ni genge la wezi, na watatumia ikulu kwa faida na biashara zao binafsi.
Mwisho, Lowassa ni mla rushwa na fisadi ambaye anapigania biashara zake mbalimbali kwa kukwepa kodi.
Watanzania hatutamchagua Lowassa kwa sababu amekosa sifa na haaminiki.