charty
JF-Expert Member
- Oct 28, 2013
- 7,460
- 6,001
kwahyo akili yako inakwambia kila aliye nje ya nchi mwanamke anakula bata eh? Na wasiwasi na thinking capacity yako!ebu kajipange na hoja nyinginehahha kamdanganye kuku. mwanamke ata akiwa na million bado atataka kula buku kumi ya njemba...wazuri wanajipanga watatija wapi leo tena sio hapa bongo tayari wanakula bata nje ya nchi