Ngomakipiki
JF-Expert Member
- May 6, 2013
- 329
- 200
Sio lazima uwaze hiyo ni alarm ambayo Mungu amemuwekea mwanaume ili awahi kwenye mihangaiko alete chochote nyumbani.Nyie wenzetu asubuhi mnawaza mengi lakini ailimia 99 ya wanaume asubuhi lazima awaze papuchi;
Ndiyo maana hata ukiwa usingizini unajikuta tu kitu kimesimama.
NB:Mwanaume rijali hana sababu ya kutegesha alarm imuamushe mwili wake ni alarm tosha.
Sent using Jamii Forums mobile app