Bodabodafasta
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 372
- 372
Hii inatokea sana kwa sisi wanaume unakuta umemtongoza mdada na kweli upo serious unataka kuwa naye hata awe mke kwa baadae ila unaanza kuwekewa masharti sex subiria kwanza ni mapema mno.
Anasema hayo huku akihitaji mahitaji yake kama pesa na mengine mengi umsaidie ila anakusubirisha kwenye kusudi la msingi la sex.
Mimi hapa huwa nawapoteza wengi sana maana kama itapita wiki sijapata ninachotaka haina haja ya Mimi kuwa friend na mwanamke kama hunipi ninachokitaka na hakuna ninachokipata toka kwako. Only if tuko sehemu moja au tunaonana mara kwa mara ndo nitaendelea kuchombeza chombeza ila akili yangu ilishahama kwako kitambo.
Ebu tuambie huwa mnasubiri nini ndo mtupe papuchi?? Je, huwa hampeleki kwengine wakati tunasubiri kupewa??
Je wanaume wenzangu huwa mnafanyaje kwenye hii hali maana wengine sisi uvumilivu ni zero. Yaani kukaa unamwagilia tunda lililoiva badala ya kulila huu moyo sina kabisa. Hebu tupeane uzoefu
Anasema hayo huku akihitaji mahitaji yake kama pesa na mengine mengi umsaidie ila anakusubirisha kwenye kusudi la msingi la sex.
Mimi hapa huwa nawapoteza wengi sana maana kama itapita wiki sijapata ninachotaka haina haja ya Mimi kuwa friend na mwanamke kama hunipi ninachokitaka na hakuna ninachokipata toka kwako. Only if tuko sehemu moja au tunaonana mara kwa mara ndo nitaendelea kuchombeza chombeza ila akili yangu ilishahama kwako kitambo.
Ebu tuambie huwa mnasubiri nini ndo mtupe papuchi?? Je, huwa hampeleki kwengine wakati tunasubiri kupewa??
Je wanaume wenzangu huwa mnafanyaje kwenye hii hali maana wengine sisi uvumilivu ni zero. Yaani kukaa unamwagilia tunda lililoiva badala ya kulila huu moyo sina kabisa. Hebu tupeane uzoefu
