Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,360
- 11,588
CHAIsio wote mm mbon nimkimya sana ila ninambavu nene mzee wa tize na gmy nashobokewa na kila lika kuanzia madem wa vyuo had wa sekondal wote napitanao
CHAIsio wote mm mbon nimkimya sana ila ninambavu nene mzee wa tize na gmy nashobokewa na kila lika kuanzia madem wa vyuo had wa sekondal wote napitanao
[emoji848][emoji848][emoji848]Hivi washakuja kujibu eeehh???
Mwanaume anaejifanya kauzu, userious mwingi muda wote na mambo kama hayo anaboa sana.Wakuu mambo VP aiaisee nawapeni siri mademu Siku hizi wamekuwa wajanja hawapendi hela mwanzoni mwa mahusiano wanajifanya hawataki hela ila mbeleni sasa akishakuzoea vizinga vinaanza.
Anyway mademu kwann wanawapenda watu wacheshi?
Maana kuna mwanangu mmoja sura onyango ila anawagonga sana mademu wakali kisa tu mcheshi komediani yaani nilimuuliza akaniambia kuwa yeye uwa anawachekesha maduu wanajaa wenyewe anawagonga.
Swali kwann mademu mnawapenda wanaume wacheshi?
😂😂 unanywea ivi🍞🥑!Sio kosa lako tatizo wabongo tunapenda kudangwa kuliko ukwelCHAI
DuuhMwanamke huyo huyo anayependa mcheshi pia anapenda:
Mkimya
Dereva
Bodaboda
Askari
Mlevi
Mwenye pesa
Mwenye cheo
Machinga
Muuza genge
Kwa hiyo usihofu mkuu. Katika nafasi na hali yako utapendwa na papuchi utakula.
Wanawake wanapenda mtu wa kuwafurahisha, kuwapa raha hicho ndio Cha muhimu kwao, uchechi Kwa mwanamke ni kama chatu na mbwa.Wakuu mambo vipi aiaisee nawapeni siri mademu Siku hizi wamekuwa wajanja hawapendi hela mwanzoni mwa mahusiano wanajifanya hawataki hela ila mbeleni sasa akishakuzoea vizinga vinaanza.
Anyway mademu kwann wanawapenda watu wacheshi?
Maana kuna mwanangu mmoja sura onyango ila anawagonga sana mademu wakali kisa tu mcheshi komediani yaani nilimuuliza akaniambia kuwa yeye uwa anawachekesha maduu wanajaa wenyewe anawagonga.
Swali kwann mademu mnawapenda wanaume wacheshi?
Ucheshi Sio kuchekesha peke yake, ni uchangamfu pia na utani wa hapa na pale, wanaweza kuwa wanaachika lakini wakawa wamekula wanawake wazuri wazuri 🤣🤣🤣Mbona wachekeshaji wanaachika tu!!!😂😂😂😂😂😂😂