Lulanzi
New Member
- Nov 25, 2020
- 1
- 0
Hapo nimekubali wakati unamuoa anakuwa msafi akishazoea hata kupiga deki kwa mwezi maramoja wanawake mhmm hatariWanawake tukiachana na kuzidiwa na majukumu yao ni watu wa kufanya makusudi sana wakijinasibu kuwa ndio lugha yao ya mapenzi.
Wanavijitabia vingi sana vya kukera ambavyo huwa wanavifanya kwa makusudi ili kukupima utawafanya nini. Huwa inakera sana especially kwa watu ambao mshaingia katika mahusiano serious na hata ndoa.
Kunatabia mfano kukaa mbali na simu yaani unapiga simu itaitaa weeee hadi mtu unaamua kupigia jirani aende amwambie apokee simu unamtafuta....
Kunatabia ya kuacha nyumba katika mazingira yasiyo ya usafi mfano wameacha vyombo hapo mezani hakuna usafi unafanyika yaani nyumba inakuwa sio safi hadi mtu kuleta mgeni home ni hadi upige simu utoe maagizo....
Kwahiyo hata hii ni miongoni mwa tabia mbaya ambapo unakuta binti anajiweka rough kwa makusudi hadi akusukume uanze kutafuta wanawake wasafi huko nje aaanze kulialia...