Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Uwe mwanaume , uwe mwanamke...ukitaka kupata pesa deal na wanaume , jenga network na wanaume wengi zaidi kuliko wanawake.
Wanaume wanakupa deals . Wanaume wanakupa kazi. Wanawake hawana bahati / kismati cha pesa kabisa. Wanawake wanatumia pesa tu. Ni mwema kwao ukiwa na pesa tu.
Wanaume wanakupa deals . Wanaume wanakupa kazi. Wanawake hawana bahati / kismati cha pesa kabisa. Wanawake wanatumia pesa tu. Ni mwema kwao ukiwa na pesa tu.