Kwanini wanaume wengi wanaogopa kupimwa tezi dume kwa njia ya kidole?

Mi wala sikatai kupimwa ila kwa masharti
1. Dkt awe mwanamke
2. Baadae awe girlfriend wangu
La sivyo sipimi hata kwa bunduki na nitatembeza vitasa kwa kila anaetaka kunipima
Taratibu mgonjwa hachagui dr
 
Kumbe tezi dume inapimwa hivyo? basi ukiachana na kuwa ni kipimo tu hata kama ingekuwa ni tiba nisingeweza
 
Usifananishe mafi na kidole mafi yanatoka ndani yanakuja nje kidole kinatoka nje kinaingia ndani kwanza hiki kipimo ni udharirishaji tu
 
Cha ajabu wanakunya kila siku tena Upana wa kinyesi ni mkubwa kuliko kidole cha kati na wengine hata wana constipation lkn anavunga kuogopa kuingizwa kakidole tu!
Weeeeeeeeeeeee mama hapana chezea kidole aisee,kuingizwa kidole kwa mwanaume ni tusi aisee km ni hilo tezi acha liishi huko tu mpaka cku ikifika.
 
Wengi humu mshapigwa vidole sana sema hamsemi, mkija hosptal mnaumwa mnakuwa wanyonge kama ni vidole mnapigwa sana sema inabaki kua siri ya wawili, uko hosptal kuna mambo!
 
Back
Top Bottom