Kwanini wanaume wananunua dada poa?

Sawa wanawake mtaani,ofisini wapo lakini kuanza kutongozana kidogo ni process lakini Kununua madada poa ni simple tu unapata huduma

Kwaiyo kununua madada poa ni kuokoa muda.
 
Kwanza ni ngumu mwanamke mmoja kumtosheleza mwanaume kwenye suala la kitandani.. pili wanaume wengi huwa hawana subila kwenye mapenzi, wanataka wakati wote sehemu yoyote. Hivyo wanaume wengi walio owa huwa hawapewi vizuri na wake zao . Unakuta mwanaume ametoka kwenye mihangaiko yake anapitia baa kuywa bia moja . Baada ya hapo dam ina chemka anafikiri akifika nyumbani anakuta mke kalala chakula kiko mezani ,akingia kitandani mke akimugusa anasema kesho sasa nimechoka. Kaangarie chakula mezani. Mme akifikiri shida hizo, anaamuwa kuchukuwa dada powa amalize ham ili akifika nyumbani asisumbuwe mke wake.
 
Ila nimegundua watu hawajipendi, nashauri kama kuna ulazima wa kwenda kwa dadapoa, nunua kits zako za hiv na sti, mpimane ndio mfanye sex, unless otherwise mtakuja kuumia vibaya sana, condom pekee haina efficiency ya 100% na pia hupasuka, UKIMWI upo, kama mtu anafanya mishe za afya afya hospitalini atakuwa anaelewa, ni hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…