Jokajeusi
JF-Expert Member
- Jun 1, 2018
- 6,305
- 10,582
Anajua nilikuwa na mtu mwingine!
Tuseme labda alkw anataka kufanya kisasi ila ili iweje? Ni immaturity
Wewe nawe kumsumbua mtu miaka minne alafu ukamkubalia ni immaturity, kutokujielewa na kukosaa msimamo.
Yaani umsumbue mtu miaka minne alafu unategemea siku ukimkubalia yeye ndiye atakuoa, 🤣 🤣 🤣 🤣 Tena ushukuru umekutana na huyo.
Mimi huwezi nizungusha hata mwezi tuu ukabaki salama.
Nakutongoza leo, ndani ya siku saba uwe umenikubalia, ukinikatalia zile za sitaki nataka, nabadili malengo, nitakuwa nakutongoza ili nione hicho unachonificha,
Huna bikra alafu unizungushe miaka minne,loooh!
Kama nasomea Bachelor fulani hivi ya Law