smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,977
- 3,063
Hujawahi kurogwa wewe naona!!! Umfanyie hivi mtoto wa kike??Binafsi, linapokuja swala la kisasi kwa mwanamke as long as huyo mwanamke sihitaji kuwa naye tena kisasi huwa ni mara moja tu. Hii ni kwa sababu ukiendelea kujibizana mapigo na mwanamke inaonekana kama nitakuwa nashindana na mwanamke kitu ambacho kwangu haki-sound poa.
Kwenye hiyo scenario yako ni waxi huyo demu maneno yalimuuma na anafanya hivyo kwa nia mbili,
i) ili uone kwamba hata asipokuwa na wewe kuna wana kibao wana-rock naye. Ni kama mpango wa kukufanya uone wivu. Akiamini kufanya hivyo kutatuliza maumivu yake.
ii) Ni mtego ili ujichanganye kwa namna yoyote akupige tukio wewe....kwa hiyo ili apunguze machungu.
Kwa hiyo maoni yangu ni kuwa, vunga kama hakuna kinachoendelea. Kama ni status una view kama kawaida ila usijibu chochote, si kwa emoji wala maneno yaliyokaa ki-positive au ki-negative. Hii itamuumiza zaidi na kwangu mimi hii ndo double revenge nzuri kwa sababu anafanya hivyo ili akuchokoze.
Ila kama unataka kumpiga tukio ambalo litabaki kama ukumbusho, subiri ikitokea siku akaleta kwato zake tena, unambutua then baada ya kumaliza kugegeda unamtemea shit za kutosha na unamwambia avae haraka asepe.
Labda uwe mchawi sana tena sana hata majambazi atakutafutia wallah nakwambia.
Ndo maana mnapinda mishedede!! na kumroga mwanaume ushoga ni rahisi tu