Lager
JF-Expert Member
- Mar 4, 2019
- 396
- 1,089
Habari wana jamii,
Nimekuwa nikiona humu ama katika maisha halisi wanaume tumekuwa tukilalamika zaidi kuhusu wanawake katika mapenzi. Iwe kwenye ndoa ama mapenzi tu yakawaida, wengi utakuta wanaume ndio walalamikaji juu yavitendo vya wanawake.
Nimeshakaa na watu wenye ndoa zao na wamenionya kuhusu wanawake kuwa wanatabia fulanifulani za kukera,pia wamekuwa wakinihadithia matukio walioshuhudia ambayo yalileta sintofahamu katika ndoa za watu na walalamikiwaji ni jinsia ke!.
Wanawake nini shida? Wanaume mliooa kuna nini huko ndani mpaka malalamiko mengi yaangukie kwa wanawake tu?
Nimekuwa nikiona humu ama katika maisha halisi wanaume tumekuwa tukilalamika zaidi kuhusu wanawake katika mapenzi. Iwe kwenye ndoa ama mapenzi tu yakawaida, wengi utakuta wanaume ndio walalamikaji juu yavitendo vya wanawake.
Nimeshakaa na watu wenye ndoa zao na wamenionya kuhusu wanawake kuwa wanatabia fulanifulani za kukera,pia wamekuwa wakinihadithia matukio walioshuhudia ambayo yalileta sintofahamu katika ndoa za watu na walalamikiwaji ni jinsia ke!.
Wanawake nini shida? Wanaume mliooa kuna nini huko ndani mpaka malalamiko mengi yaangukie kwa wanawake tu?

)