Kwanini wanaume mmepunguza kuhonga?

HERUFI KUBWA

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2017
Posts
388
Reaction score
602
Jamani wana jf.

Nawapenda tena nawapenda sana.

Kwanza nianze na kukasirika kama kuna watu wanajifanya wanajijua vile, eti herufi kubwa wewe jinsia gani, niseme tu haiwauhusu!

Sasa naomba nianze na mada yangu jioni ya leo, hivi kwanini wanaume wa leo mmepunguza kuhonga jamani? Miaka ile wanaume wenzenu walikuwa wanahonga hadi nyumba, eh labda tuseme nyumba kitu kidogo. Wakina Harmonize wanahonga hadi Range!

Hakuna kitu inauma mwanaume anakulala halafu eti anakuachia ka elfu 50 na mabusubusu kedekede.
Yaani mapigo ya moyo yanaenda mbio sana, leo hii mwanaume kukupa hata hela ya vocha hamna, tena hata elfu 10 jamani.

Kiukweli wanaume tunawapenda ila upendo umepoa maana hamuongi tena.
Nyie ndiyo wa kwanza kutusumbua kwa dm, sasa sisi mb twatoa wapi? Mitoko mnatupeleka Mlimani City kweli jamani, tena unakuta unaenda kwa mwanaume anakupandisha daladala sasa atapata mapenzi kweli?

Mara ooh maisha magumu, mara ohh sijui sina hela, sasa nawauliza mbona mmepunguza kuhonga ila na bado mnatusumbua?
 
Mhhh umeachwa, umetendwa hauhudumiwi na shemeji, shida ni gani mbona dk 2 nyuzi 2
 
Muulize ana viwango?
Huwezi kununua pombe ya banana sawa bei ya whisky au wine😂😂😂
Huyu "bidada" naona atakua ametolewa "matenga", Maana analaumu wanaume kama tuliingia mkataba nae😂 kama vipi nae awe mwanaume aanze kuhonga
 
Kwani dau la kuuza mnawekaga shngap? Tuanzie hapo, alafu maswala ya kuhongwa yanatokea wapi na umeshalipwa hela ya kuliwa!!!?
 
Huyu "bidada" naona atakua ametolewa "matenga", Maana analaumu wanaume kama tuliingia mkataba nae😂 kama vipi nae awe mwanaume aanze kuhonga
Pia anajitangaza kuwa nimtoaji wa kila uwazi...najua umenielewa
 
Wenzako huku tunawala mbususu na ela wanatoa we mwanamke wa wapi?😂
 
Sasa utahonga kitu ambacho hauna?Hata ukikomaa kutafuta mahela unaambiwa "kwani ulizipoteza wapi"?Au "una uhakika ulizidondosha hilo eneo"?Tupeane tu kispoti!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…