issa risasi
Member
- Mar 14, 2014
- 12
- 5
We unahisi kwanini wasanii wa hip hop wengi wa Tz hawana mafanikio wa nje
We unahisi kwanini wasanii wa hip hop wengi wa tz hawana mafanikio kama wa mbele
mbele ndo nini?
mbele ndo nini?
nyuma yake
nyuma yake
naona dogo analeta kiswahili cha kihuni huni utazani anavuta bange!
Mara ya mwisho ulinunua album original ya msanii lini?
Hakijibu hili swali tuendelee na mada.Mara ya mwisho ulinunua album original ya msanii lini?
Mkuu, wasanii wa fleva hawana album original kwani nyimbo/beats zao ni za watu wengine hawa ma Big G wanawekewa sauti tu tena inachujwa weeee ili mtu apate kusikika vizuri. Ukitaka kujuwa ukweli nenda kamuone Diamond au msanii yeyote wa fleva live uone wanavyotokwa na mishipa shingoni utafikiri mtu anataka kuzimia.