ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,621
- 56,941
Wanaitwa king cobra kwa sababu wanaweza kuua na kula cobra wenzao. Cobra mfalme mzima ni wa manjano, kijani kibichi, hudhurungi au mweusi, kwa kawaida huwa na mwamba wa rangi ya njano-nyeupe
King Cobra Ndiye Nyoka Mrefu kuliko Nyoka Wote Wenye Sumu pia Sumu Yao husababisha mauti. Cobra wa Kike Hutengeneza Viota.
Mwindaji wao mkubwa zaidi ni Mongoose. Wana uwezo wa kuishi miaka mingi takriban 20..Kingine Wana uwezo wa kuishi bila maji kwa muda mrefu kama tu reptiles wengine.
Tumlinde nyoka huyu Kwa kuwa yupo kwenye kundi la wanyama walio kwenye hatari ya kutoweka. Tumsaidie asipotee Kwa kutonunua bidhaa zozote zinazotokana na king cobra pia tusimuue tumrudishe kwenye mazingira yake.
King Cobra Ndiye Nyoka Mrefu kuliko Nyoka Wote Wenye Sumu pia Sumu Yao husababisha mauti. Cobra wa Kike Hutengeneza Viota.
Mwindaji wao mkubwa zaidi ni Mongoose. Wana uwezo wa kuishi miaka mingi takriban 20..Kingine Wana uwezo wa kuishi bila maji kwa muda mrefu kama tu reptiles wengine.
Tumlinde nyoka huyu Kwa kuwa yupo kwenye kundi la wanyama walio kwenye hatari ya kutoweka. Tumsaidie asipotee Kwa kutonunua bidhaa zozote zinazotokana na king cobra pia tusimuue tumrudishe kwenye mazingira yake.