Kwanini walinzi wa Magufuli walikuwa wanavaa sare za CCM wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020?

Kwanini walinzi wa Magufuli walikuwa wanavaa sare za CCM wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020?

Emilio Mzena

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2023
Posts
262
Reaction score
619
Aliyepata kuwa Rais wa awamu ya 5 John Pombe Magufuli alikuwa ni mtu wa drama sana.

Wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020 aliamuru walinzi wake (PSU) kuvaa sare za CCM. Kitendo hiko hakikuwahi kufanywa na watangulizi wake.

Hii ilikuwa kinyume na taratibu na miongozo ya kidemokrasia. Nini hasa ilikuwa sababu ya walinzi wa Magufuli kuvaa sare za chama?
IMG_7958.jpeg
 
Aliyepata kuwa Rais wa awamu ya 5 John Pombe Magufuli alikuwa ni mtu wa drama sana.

Wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020 aliamuru walinzi wake (PSU) kuvaa sare za CCM. Kitendo hiko hakikuwahi kufanywa na watangulizi wake.

Hii ilikuwa kinyume na taratibu na miongozo ya kidemokrasia. Nini hasa ilikuwa sababu ya walinzi wa Magufuli kuvaa sare za chama?View attachment 3465063
Nani alikuambia ni kinyume Cha Demokrasia? Kwa Sheria ipi? Acha kudanganya watu. Na hoja yako ni ya kipumbafu haina tija yoyote kwa Taifa. Ehee ngoja nikubaliane na ujinga wako, ehee so what???
 
Aliyepata kuwa Rais wa awamu ya 5 John Pombe Magufuli alikuwa ni mtu wa drama sana.

Wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020 aliamuru walinzi wake (PSU) kuvaa sare za CCM. Kitendo hiko hakikuwahi kufanywa na watangulizi wake.

Hii ilikuwa kinyume na taratibu na miongozo ya kidemokrasia. Nini hasa ilikuwa sababu ya walinzi wa Magufuli kuvaa sare za chama?View attachment 3465063
Kwhy we maoni yako nn apo?
 
Aliyepata kuwa Rais wa awamu ya 5 John Pombe Magufuli alikuwa ni mtu wa drama sana.

Wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020 aliamuru walinzi wake (PSU) kuvaa sare za CCM. Kitendo hiko hakikuwahi kufanywa na watangulizi wake.

Hii ilikuwa kinyume na taratibu na miongozo ya kidemokrasia. Nini hasa ilikuwa sababu ya walinzi wa Magufuli kuvaa sare za chama?View attachment 3465063
Sikuwahi kumkubali Magufuli, lakini katika hili usichume dhambi, Tanzania inaongozwa na mfumo dola iko hivyo siku zote ni wewe ndio umehadithiwa juzi tu ulikuwa hujui lolote.

Namtetea Magufuli katika hili tusimlaumu.
 
Aliyepata kuwa Rais wa awamu ya 5 John Pombe Magufuli alikuwa ni mtu wa drama sana.

Wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020 aliamuru walinzi wake (PSU) kuvaa sare za CCM. Kitendo hiko hakikuwahi kufanywa na watangulizi wake.

Hii ilikuwa kinyume na taratibu na miongozo ya kidemokrasia. Nini hasa ilikuwa sababu ya walinzi wa Magufuli kuvaa sare za chama?View attachment 3465063
Kwa ufahamu wangu walivaa vile kwanza ni kujaribu kuficha uwepo wao kirahisi na siyo tu kwenye kampeni hata ikiwa sherehe za mwenge wapo wanaovaa sare kama wanakamati ya kuratibu mwenge. Jukumu la ulinzi wa viogozi siyo rahisi kama wengi tunavyodhania na ndiyo maana hawa walinzi hawana mchezo kwenye kazi yao naumbuka hata Mzee wetu Marehemu Magufli kuna wakati alikuwa anawaambia mwacheni ila walikuwa hawakubali kirahisi. Sarehizi ni kuzuga usiwajue krahisi hasa eneo ambalo linmkusanyiko wa watu wengi na ni la wazi na mchanganyiko. Hapo wamevaa kama mgombea ili usiwe rahisi kumsogelea mgombea.
 
Swala la kiusalamA au ulinzi linaweza husishwa. Japo hupaswa inapobidi.
 
Camouflage. Bila shaka hiyo ni 2015 maana hao jamaa hususani bonge mwenye macho ya kichina alikuwa nae hata kabla ya uteuzi wa mgombea 2015. TEETHCCM
 
Aliyepata kuwa Rais wa awamu ya 5 John Pombe Magufuli alikuwa ni mtu wa drama sana.

Wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020 aliamuru walinzi wake (PSU) kuvaa sare za CCM. Kitendo hiko hakikuwahi kufanywa na watangulizi wake.

Hii ilikuwa kinyume na taratibu na miongozo ya kidemokrasia. Nini hasa ilikuwa sababu ya walinzi wa Magufuli kuvaa sare za chama?View attachment 3465063
Kama ni sahihi rais kuvaa sare za chama, ni nini kinazuia walinzi wake kuvaa sare?? Kama rais alivaa kisa ni mhombea basi na walinzi walivaa kisa ni walinzi wa mgombe. Kwani ni kosa walinzi wa mgombea wa CDM wakivaa gwanda?
 
Hapana, si sawa.
Kikatiba na kisheria (katika nchi nyingi, ikiwemo Tanzania), vyombo vya ulinzi na usalama havipaswi kuonyesha au kushabikia itikadi za kisiasa kwa kuvaa nguo, alama au bendera za chama chochote. Mlinzi wa Rais ni askari au afisa wa usalama wa taifa, na jukumu lake ni kumlinda Rais kama taasisi ya dola — bila kujali Rais anatoka chama gani.
 
Kama ni sahihi rais kuvaa sare za chama, ni nini kinazuia walinzi wake kuvaa sare?? Kama rais alivaa kisa ni mhombea basi na walinzi walivaa kisa ni walinzi wa mgombe. Kwani ni kosa walinzi wa mgombea wa CDM wakivaa gwanda?
Akili huna kazi kufuga matako makubwa
 
Aliyepata kuwa Rais wa awamu ya 5 John Pombe Magufuli alikuwa ni mtu wa drama sana.

Wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020 aliamuru walinzi wake (PSU) kuvaa sare za CCM. Kitendo hiko hakikuwahi kufanywa na watangulizi wake.

Hii ilikuwa kinyume na taratibu na miongozo ya kidemokrasia. Nini hasa ilikuwa sababu ya walinzi wa Magufuli kuvaa sare za chama?View attachment 3465063
Ulikuwepo pindi anatoa amri hiyo?
 
Aliyepata kuwa Rais wa awamu ya 5 John Pombe Magufuli alikuwa ni mtu wa drama sana.

Wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020 aliamuru walinzi wake (PSU) kuvaa sare za CCM. Kitendo hiko hakikuwahi kufanywa na watangulizi wake.

Hii ilikuwa kinyume na taratibu na miongozo ya kidemokrasia. Nini hasa ilikuwa sababu ya walinzi wa Magufuli kuvaa sare za chama?View attachment 3465063
mkuu mi nadhani ule msemo "when you are in rome live like romans" ndio ulifanya kazi!
 
Back
Top Bottom