Vyama vyote vinafanana tu, CCM walewale, CDM mwenyekiti ni yeye tu alfa na omega, TLP ndio hivyo tena, CuF ni yeye tu, NCCR ni mbatia daily hivyo hakuna jipya
Vyama vyote vinafanana tu, CCM walewale, CDM mwenyekiti ni yeye tu alfa na omega, TLP ndio hivyo tena, CuF ni yeye tu, NCCR ni mbatia daily hivyo hakuna jipya
Vyama vyote vinafanana tu, CCM walewale, CDM mwenyekiti ni yeye tu alfa na omega, TLP ndio hivyo tena, CuF ni yeye tu, NCCR ni mbatia daily hivyo hakuna jipya
Naona umelazimisha tu kuwaweka wengine ili ujiliwaze, mfano Kinana alikuwa KM leo ni MM, niambie nani huko upinzani hasa Chadema amewahi kushika nafasi mbili tofauti ndani ya chama chake tena kwa nyakati tofauti?