Pia aliweka wazi kuwa Mungu sio baba yake pekee!
Jesus said, "Do not hold on to me, for I have not yet ascended to the Father. Go instead to my brothers and tell them, 'I am ascending to my Father and your Father, to my God and your God.'"
Yohana 20:17[SUP]17 [/SUP]Yesu akamwambia, "Usinishike kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu zangu ukawaambie, ninakwenda kwa Baba yangu na Baba yenu, kwa Mungu wangu na Mungu wenu."
Mlaleo unamwabudu Mungu Yupi?
Je unaamini kuwa Yesu ni Mungu? Au unamwabudu Mungu wa Yesu?