adakiss23
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 4,477
- 4,270
Nahisi ni ubadhilifu 2 wa fedha za umma. Kwanini hawa wajumbe wa nyumba 10 kushirikiana na serikali za mitaa kufanya kazi ya sensa kwa kuwa wako karibu zaidi na wananchi wa mtaa wao zaidi kuliko kupoteza mamilioni ya kodi.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums