New Nytemare
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 3,310
- 2,425
Kwakweli maana katika hali ya kawaida mtu anawezaje kuandika et "hunataka humuoe" tone tu haiji huwa nashangaa sana au cjui anatokea mbinga huyu
Kwakweli maana katika hali ya kawaida mtu anawezaje kuandika et "hunataka humuoe" tone tu haiji huwa nashangaa sana au cjui anatokea mbinga huyu
Sasa hapo mchafu anayepaswa kubadilika ni nani? maana gheto ni lako wewe na vyombo vichafu vyako mwenyewe ushagharabagara wako binafsi, kwa ufupi kwa mujibu wa maelezo yako wewe binafsi ndio mchafu unayepaswa kubadilika na huyo mrembo ni mvivu tu ila msafi.Ndugu wana Jf nimeona nilete uzi huu kwenu.
Unakuta mdada ni mrembo tena anavutia ila sasa upande wa pili ni mchafu kupindukia. Simaanishi uchafu wa mwili la asha.
Yan unakuta labda kaja kukutembelea ghetto kwa siku kadhaa ila utashangaa ni mtu ambaye yuko careless yan hawez ata kupiga deki, kuosha vyombo, yani kila kitu kinakuwa ovyo mpka unakereka.
Na ukijaribu kumuuliza a najifanya anadeka kuwa kachoka na huenda mbali zaidi kuwa muwe mnaenda kula hotelin.
Chonde Chonde wadada kama mnavyopendeza njian plz bac muweze kuwa wasafi ata majumban kwenu.
Tabia ya kuwachukua wasichana na kuwapeleka "ghetto" kwako na kufanya nao "uasherati" kwa siku kadhaa, huo ndiyo UCHAFU mbaya kuliko wote. ZINAA ni uchafu, acha zinaa, tafuta Mke uoe.Yan unakuta labda kaja kukutembelea ghetto kwa siku kadhaa ila utashangaa ni mtu ambaye yuko careless yan hawez ata kupiga deki, kuosha vyombo, yani kila kitu kinakuwa ovyo mpka unakereka.
Girlfriend hawez nitembelea ghetto na kukaa siku tatu alafu asifanye usafi. Kama shida ilikuwa kunipa papuchi bac alale ucku mmoja kesho asepe.Mleta mada unataka kumgeuza mwenzako kijakazi? Yani kaja geto kwako halafu unataka mwenzako afanye kazi za 'mke' au za kijakazi? . Huenda kajiongeza . Anaona akifanya kazi zinazomhusu mke huenda ndoa akaikosa. Girlfriend sio mke, akikutembelea kwako usimpangie majukumu ya mke
Inategemeana na ww kakukuta kwenye mazingira ganii kama unamademu wengi jee
hahha ungemfikishia tu taarifa mkuuNdugu wana JF,
Nimeona nilete uzi huu kwenu,
Unakuta mdada ni mrembo tena anavutia ila sasa upande wa pili ni mchafu kupindukia. Simaanishi uchafu wa mwili la asha.
Yani unakuta labda kaja kukutembelea ghetto kwa siku kadhaa ila utashangaa ni mtu ambaye yuko careless yani hawezi ata kupiga deki, kuosha vyombo, yani kila kitu kinakuwa ovyo mpaka unakereka.
Na ukijaribu kumuuliza a najifanya anadeka kuwa kachoka na huenda mbali zaidi kuwa muwe mnaenda kula hotelini.
Chonde chonde wadada kama mnavyopendeza njiani tafadhali basi muweze kuwa wasafi hata majumbani kwenu.