tryvenak
JF-Expert Member
- Dec 13, 2017
- 248
- 297
Ndugu wana JF,
Nimeona nilete uzi huu kwenu,
Unakuta mdada ni mrembo tena anavutia ila sasa upande wa pili ni mchafu kupindukia. Simaanishi uchafu wa mwili la asha.
Yani unakuta labda kaja kukutembelea ghetto kwa siku kadhaa ila utashangaa ni mtu ambaye yuko careless yani hawezi ata kupiga deki, kuosha vyombo, yani kila kitu kinakuwa ovyo mpaka unakereka.
Na ukijaribu kumuuliza a najifanya anadeka kuwa kachoka na huenda mbali zaidi kuwa muwe mnaenda kula hotelini.
Chonde chonde wadada kama mnavyopendeza njiani tafadhali basi muweze kuwa wasafi hata majumbani kwenu.
Nimeona nilete uzi huu kwenu,
Unakuta mdada ni mrembo tena anavutia ila sasa upande wa pili ni mchafu kupindukia. Simaanishi uchafu wa mwili la asha.
Yani unakuta labda kaja kukutembelea ghetto kwa siku kadhaa ila utashangaa ni mtu ambaye yuko careless yani hawezi ata kupiga deki, kuosha vyombo, yani kila kitu kinakuwa ovyo mpaka unakereka.
Na ukijaribu kumuuliza a najifanya anadeka kuwa kachoka na huenda mbali zaidi kuwa muwe mnaenda kula hotelini.
Chonde chonde wadada kama mnavyopendeza njiani tafadhali basi muweze kuwa wasafi hata majumbani kwenu.