comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,211
- 5,937
toka siri ifuchuke kuwa wabunge wamepandisha posho zao wananchi wengi wamepiga kelele kila mmoja kwa namna yake kupinga jambol hilo.
ombi langu kwa watanzania ni kuliangalia jambo hilo kwa makini na mapana.
katika nchi yetu hii tukufu watu wamekuwa na tabia ya kutumia nafasi wanazopewa kujipangia mazuri tu bila kuangalia wenzao hasa inapokuja kujipangia maslahi isipokuwa akinamama wa vijijini ambao hupakuwa vizuri na kuwapa wanaume .
kwa mfano
WABUNGE. WALIWEKA UKOMO WA RAIS KUWA MIHULA MIWILI tu YA MIAKA MITANO TU LAKINI WAO WAKAKAA KIMYA.
BOT- MISHAHARA YAO MIKUBWA KULIKO HATA WALIMU WAO WALIOWAFUNDISHA.
TANESCO- WAFANYAKAZI WANATUMIA UMEME SANA NA KWA KILA KITU LAKINI WANALIPA BILI KIDOGO SANA
TRA- WANAJILIPA MISHAHARA MIKUBWA KWA KISINGIZIO CHA KUTULIZA TAMAA YA KUIBA HIZO HELA WANAZOKUSANYA
TBL- WAFANYAKAZI WANAKUNYWA BIA TANI YAO KILA SIKU JIONI NA KILA MWEZI WANAPEWA KRETI KUPELEKA MAJUMBANI
MIKUKO YA HIHADHI YA JAMII- MISHAHARA MIKUBWA KULIKO WAFANYAKAZI WANAO KATWA NA KUCHANGIA.
WAJUMBE WA KAMATI ZA HARUSI- HUACHA VINYWAJI VINGI ILI WANYWE WAKATI WA KUVUNJA KAMATI
orodha ni ndefu.
sasa kwa nini tunawaandama wabunge ambao kwa kweli hela zote wanazopata tunazichukua katika harambee tunzowaalika kila wakati. tunawapa kwa mkono wa kulia na kizichukua kwa mkono wa kushoto.
ombi langu kwa watanzania ni kuliangalia jambo hilo kwa makini na mapana.
katika nchi yetu hii tukufu watu wamekuwa na tabia ya kutumia nafasi wanazopewa kujipangia mazuri tu bila kuangalia wenzao hasa inapokuja kujipangia maslahi isipokuwa akinamama wa vijijini ambao hupakuwa vizuri na kuwapa wanaume .
kwa mfano
WABUNGE. WALIWEKA UKOMO WA RAIS KUWA MIHULA MIWILI tu YA MIAKA MITANO TU LAKINI WAO WAKAKAA KIMYA.
BOT- MISHAHARA YAO MIKUBWA KULIKO HATA WALIMU WAO WALIOWAFUNDISHA.
TANESCO- WAFANYAKAZI WANATUMIA UMEME SANA NA KWA KILA KITU LAKINI WANALIPA BILI KIDOGO SANA
TRA- WANAJILIPA MISHAHARA MIKUBWA KWA KISINGIZIO CHA KUTULIZA TAMAA YA KUIBA HIZO HELA WANAZOKUSANYA
TBL- WAFANYAKAZI WANAKUNYWA BIA TANI YAO KILA SIKU JIONI NA KILA MWEZI WANAPEWA KRETI KUPELEKA MAJUMBANI
MIKUKO YA HIHADHI YA JAMII- MISHAHARA MIKUBWA KULIKO WAFANYAKAZI WANAO KATWA NA KUCHANGIA.
WAJUMBE WA KAMATI ZA HARUSI- HUACHA VINYWAJI VINGI ILI WANYWE WAKATI WA KUVUNJA KAMATI
orodha ni ndefu.
sasa kwa nini tunawaandama wabunge ambao kwa kweli hela zote wanazopata tunazichukua katika harambee tunzowaalika kila wakati. tunawapa kwa mkono wa kulia na kizichukua kwa mkono wa kushoto.