Kumbe umegundua mkuu huyu jamaa hafai kabsaaLizaboni hii ni ID yako nyingine, umeiandika kinyumenyume.
Mods punguzeni hizi multiple IDs.
Uongo upi? utaje, be objective; by the way umejuaje mimi ni mama? Be scientific, make experimentation before you conclude. It is only Albert Einstein in history who was making the opposite in Science!Acha uongo mama
Akili mgando mwaka wa 42 na ushehe toka tupate uhuru tuna madini ya kila aina, mbuga za wanyama tena wengine wasiopatikana popote zaidi ya Tanzania, mito, maziwa makubwa na madogo, mlima kilimanjaro , bahari n.k eti bado kuna vijiji hawajui mwanga wa taa ya umeme ni nini , hawajui choo salama na bora, wanafunzi wanasomea chini ya mwembe barabara mbofumbofu halafu unakuja kupiga porojo za kisiasa humu bila hata hofu ya Mungu misomi mingine bwana hovyo kabisa Rais keshawaambia wakati wa siasa umekwisha fanyeni kazi bado kuna miwatu mnawaza kupewa vyeo vya kisiasa kazi bado tunayo kwa mawazo haya mgando.Alikisaliti chama wakati wa uchaguzi Mkuu wa 2015 kwa kuwa alikuwa Team Lowasa. Intellijensia ya Lumumba imefanya kazi sana. Luhwavi na Nchimbi out CCM
Simba msituni au Lumumba?Kaka huyu jamaa achana nae utapotea ghafla ohooo, unafatilia nyayo za simba? Shauri yako utazingirwa sasa hivi hapo hapo ulipo
Kwahiyo unataka kutuambia huko ccm adhabu ya msaliti ni kupewa ubalozi?Alikisaliti chama wakati wa uchaguzi Mkuu wa 2015 kwa kuwa alikuwa Team Lowasa. Intellijensia ya Lumumba imefanya kazi sana. Luhwavi na Nchimbi out CCM
Na kabla ya experiment afanye kwanza observationUongo upi? utaje, be objective; by the way umejuaje mimi ni mama? Be scientific, make experimentation before you conclude. It is only Albert Einstein in history who was making the opposite in Science!
Huyo ndio anampoteza kisiasa, term ya ubalozi wake ikiisha hakuna atakae mkumbuka na nguvu yake ndani ya chama itakuwa imepotea. Labda awe na mkakati wa chini kwa chini, vinginevyo ndio ametoka huyo.anakula matapishi yake si alisema wale wote waliokuwa wanaimba wanaimani na lowasa angewapoteza!
Sasa ameona hakuna namna
Basi watakuwa ni mapunguaniHawalipwi kitu hawa, ni sawa na Shigongo tu kujikomba kwa sana halafu unaishia kupewa maneno ya faraja tu.
Michezo ya kisiasa. Kuchimbiana, kuchimbana, kuchimbania abracadabra.Nchimbi amechimbiwa
..Luhwavi na Nchimbi out CCM
Na vipi asipoenda? au analizimishwa kwenda maana sijui labda sheria inasemaje
Kuhumia ndio kukoje?Hii safu ya mabalozi iko vizuri, chadema wanahumia, CCM wanacheka
Hii safu ya mabalozi iko vizuri, chadema wanahumia, CCM wanacheka
To me I just take as sort of crude politics trying to emerge because more than 85% ccm members all over the country supported Mr Lowasa and more than 95% MPs from ccm during 10th parliament supported Mr Lowasa also, they believed he could be the 5th president of this country during the last general election. Unfortunately enough the name of Mr lowasa was omitted early in the process of getting ccm presidential candidate that's why Magufuli penetrated through a sieve otherwise Mr Magufuli he could not get this chance of being Mr president of URT. By giving them posts of ambassador to Mr Nchimbi and Mr Luhavi to me it helps nothing as I said earlier during the last general election Mr Lowasa he had a lot of supporters from both ccm members and top officials so it extremely impossible for Mr president invent ccm as people remain the same (wale wale) basic on that statistics.Alikisaliti chama wakati wa uchaguzi Mkuu wa 2015 kwa kuwa alikuwa Team Lowasa. Intellijensia ya Lumumba imefanya kazi sana. Luhwavi na Nchimbi out CCM